Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waasi 100 wauawa Kordofan,Sudan

Jeshi nchini Sudan linasema kuwa limewaua zaidi ya waasi 100 kwenye jimbo la Kordofan Kusini ingawa waasi wamekana madai hayo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

US fury at Sudan over South Kordofan

Samantha Power, the US ambassador to the UN, accuses Sudan of stepping up its attacks on civilians in South Kordofan and Blue Nile states.

 

9 years ago

BBCSwahili

Makamanda wa Iraq wauawa na waasi wa I-S

Makamanda wawili wa ngazi ya juu katika jeshi la Iraq wameuawa katika shambulio la bomu lililotegwa ndani ya gari.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi 11 wauawa nchini Mali

Wanajeshi wa Ufaransa wanasema kwamba wamepambana na waasi katika mji wa Tumbuktu Kaskazini mwaMali ambapo wapiganaji kumi na moja wameuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi waliojisalimisha wauawa Burundi

Mashahidi kadhaa wameiambia BBC kuwa Wanajeshi wa Burundi wamewaua waasi waliojisalimisha kwa Jeshi la nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askari na Waasi wauawa kwa Bomu Syria

Waasi nchini Syria na askari wa usalama wameripotiwa kuuawa katika mapigano katika mji ulio kaskazini mwa Nchi hiyo, Aleppo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini

Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Sudan Kusini wakana mauaji

Waasi nchini Sudan Kusini wamekanusha madai yaliyotolewa na Umoja wa Mataifa kuwa waliwaua raia mjini Bentiu kwa misingi ya ukabila.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi na jeshi wapambana,Sudan Kusin

Kikosi cha waasi Sudan Kusini na majeshi ya serikali wamepambana kuwania kumiliki mji wa Malakal

 

11 years ago

BBCSwahili

Pigo kwa waasi Sudan Kusini

Serikali ya Sudan Kusini inasema kuwa jeshi lake limekomboa mji wa Bor kutoka kwa waasi wa Riek Machar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani