Mtu mwenye silaha akamatwa Ufaransa
Mtu aliyekuwa amejihami vikali ameshindwa nguvu na abiria kwenye treni moja ya mwendo wa kasi nchini Ufaransa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXiKii5t5tvXkMo-qHZQWNRHa*399yDlBLaG*YJThjWMgicOqklWbbF0G6riNX7XLNCJFoFJTuDiQBt9wMd45insOyDIcl*J/MATEKA.jpg)
MTE MWENYE SILAHA AZIDI KUWASHIKILIA MATEKA KWENYE MGAHAWA JIJINI SYDNEY
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Mtu mmoja amechinjwa Ufaransa
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Sangoma akamatwa na kichwa cha mtu
Na Abdallah Amiri, Igunga
WAKATI kamatakamata ya waganga wa kienyeji ikiendelea kupamba moto katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, mmoja amenaswa akiwa na viungo vya binadamu, kikiwemo kichwa ambacho bado kilikuwa na nywele zake.
Mganga huyo, Nyamizi Makunga (70), mkazi wa Kijiji cha Igurubi wilayani Igunga, Tabora, alitiwa mbaroni juzi. Mbali na viungo hivyo, pia alikutwa na vifaa vingine, zikiwemo nyara za serikali.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Igurubi, George Henry, alisema Makunga alikamatwa nyumbani...
9 years ago
VijimamboMGOMBEA UBUNGE AKAMATWA NA SILAHA ZA KIJADI KWA AJILI YA KUFANYIA VURUGU WAKATI WA UCHAGUZI MKOANI SHINYANGA
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga kamishina msaidiziJustus Kamugisha akionesha moja ya mapanga yaliyokamatwa na jeshi la polisi yanadaiwa kuwa yaliandaliwa kwa ajili ya kufanya vurugu wakati na baada ya uchaguzi mkuu 2015.Picha na Kadama Malunde-Malunde1 Blog
5 years ago
MichuziMBUNGE WA KISHAPU SULEIMAN NCHAMBI AKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA SILAHA 10, RISASI 536 NA NYAMA 'UWINDAJI HARAMU'
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba akionesha kwa waandishi wa habari silaha alizokamatwa nazo mbunge wa Jimbo la Kishapu Suleiman Masoud Suleiman 'Suleiman Nchambi'.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Suleiman Masoud Suleiman maarufu Suleiman Nchambi (CCM) kwa tuhuma za kupatikana na silaha 10, risasi 536 na nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyawapori kinyume...
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Mtu mwenye umri mkubwa duniani afariki
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv9xqGGns9vhzJhbEtPXwLBro9ssXtfJmlp*RP5jbAfXPz-d3HA1*Zt-MRqQrAyDuiyliRBXz9fk0heLXscgeEYC/25C838A7000005782959280imagea8_1424299441989.jpg)
MTU MWEUSI ALIYEBAGULIWA KWENYE TRENI UFARANSA ATAKA HAKI
10 years ago
CloudsFM16 Jul
Young Thug akamatwa kwa kosa la kutishia kumpiga mtu risasi.
Rapper kutoka Atlanta, Young Thug amewekwa chini ya ulinzi mapema siku ya jana huko Sandy Springs, Georgia baada ya kutishia kumpiga risasi mlinzi wa mall.
July 7, Jeffrey Williams au Young Thug alifanya vurugu kwenye mall hiyo “ upscale Perimeter Mall” ambapo alitishia kumpiga risasi ya uso mlinzi aliyekua akimtoa nje.
Young thug ni mmoja ya wasanii watakovaa steji ya tuzo za “MTV MAMA” Jumamosi hii.
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Afisa aliyetemewa mate na mtu mwenye Covid-19 afariki