Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtu mwenye umri mkubwa duniani afariki

Mtu aliyekuwa na umri mkubwa duniani kutoka nchini Japan amefariki wiki kadhaa baada ya kusherehekea miaka 117 tangu azaliwe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Afisa aliyetemewa mate na mtu mwenye Covid-19 afariki

Bibi Belly Mujinga alitemewa mate akiwa kazini na mtu aliyedai kuwa ana maambukizi ya virusi vya corona.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dj mwenye umri wa miaka 3

Wachezaji densi Afrika Kusini walipigwa na butwaa walipogundua DJ aliyekuwa akiporomosha densi alikuwa mtoto wa miaka 3

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbunge mwanamke mwenye umri mdogo Tanzania

Bi Halima Abdallah, 24, anayetoka Kagera ndiye mbunge mwanamke mwenye umri mdogo zaidi katika bunge la kumi na moja la Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Bibi Pelagia mwenye umri wa miaka 101

Kutokana na mfumo wa maisha tunayoishi, vyakula tunavyokula na mabadiliko ya tabia, maisha ya mwanadamu kuishi duniani ni mafupi sana ukilinganishwa na maisha ya zamani walivyoishi wazazi wetu.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Umeshafikiria kufundishwa na mwalimu mwenye umri wa miaka 100?

KUNA usemi kuwa kujifunza hakuna mwisho, lakini mama huyu Agnes Zhelesnik (101) amebadili maana imekuwa kinyume chake kufundisha hakuna mwisho.

Kwa sasa anatajwa ni mwalimu mwenye umri mkubwa kuliko wote duniani baada ya Januari mwaka huu kutimiza miaka 101 tangu kuzaliwa lakini bado hajaacha kufundisha uchumi wa nyumbani.

Mwalimu huyo mkongwe anayefundisha watoto wenye umri chini ya miaka 10 katika Shule ya Sundance North Plaintfield, New Jersey Marekani alizaliwa Januari 12, 1914...

 

5 years ago

Michuzi

POLISI DAR WAUA JAMBAZI SUGU MWENYE UMRI WA MIAKA 20

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa
 
Na  Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamii
MKAZI wa Mbagala jijini Dar es Salaam Ramadhan Rashid maarufu kwa jina la Asney Mjeuri anayetuhumiwa kwa ujambazi sugu ameuawa wakati akitaka kuwakimbia askari Polisi.
Akizungumza leo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema kuwa mtuhumiwa huyo wa ujambazi sugu alikamatwa Februari 24 ,2020 saa saba usiku maeneo ya Sabasaba Mbagala Kizuiani...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je ni kwa nini mama huyu alimuoa binti mwenye umri wa mwanawe?

Wakati walipoanza kuchumbiana, hawakujionyesha moja kwa moja kuwa wapenzi wa jinsia moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani