Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKOMANDO WAWAOKOA MATEKA SYDNEY, WAMUUA MTEKAJI

Huyu ndiye mtekaji raia wa Iran, Haron Monis. WATU watatu wameuawa akiwemo mtekaji raia wa Iran, Haron Monis aliyekuwa ameteka watu kwa zaidi ya saa 16 katika mgahawa mmoja jijini Sydney nchini Australia jana baada ya Makomando kuvamia eneo hilo. Watu wanne akiwemo polisi wamejeruhiwa wakati wa zoezi la uokoaji. Mmoja wa majeruhi akipatiwa huduma ya kwanza. Mtekaji huyo alikuwa ameachiwa kwa dhamana kwa makosa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu kadhaa wanashikiliwa mateka Sydney

Watu kadhaa wanashikiliwa mateka na mtu mmoja au zaidi wenye silaja katika mgahawa wa Lindt mjini Sydney, Australia.

 

10 years ago

GPL

MTE MWENYE SILAHA AZIDI KUWASHIKILIA MATEKA KWENYE MGAHAWA JIJINI SYDNEY

Polisi wakimpokea mmoja wa mateka kutoka katika mgahawa wa Lindt jijini Sydney. MTU mmoja mwenye silaha bado anaendelea kuwashikilia wafanyakazi na wateja katika mgahawa wa Lindt uliopo jijini Sydney nchini Australia. Mateka ndani ya mgahawa huo wakiwa wameshika bendera yenye maandishi ya Kiarabu. Baadhi ya watu ndani ya jengo hilo wameonekana kupitia madirisha wakiwa wamebeba bendera nyeusi zenye maneno ya… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wampa kipigo mtekaji nyara Australia

Uvamizi ambao uliendelea kwa masaa 16 nchini Australia ambapo mwanamume aliyekuwa amejihami na kuwateka nyara watu ndani ya mgahawa mmoja mjini Sydney umemalizika.

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI WAWAOKOA MAJAMBAZI WALIONUSURIKA KIFO ZANZIBAR

Mmmoja watuhumiwa wa ujambazi katika maeneo ya darajani akiwa chini ya ulinzi wa Polisi akiwa katika gari waliokuwa kulitumia kwa ujambazi huo.aina ya Mtuhumiwa wa ujambazi akiwa ndani ya gari ya Polisi baada ya kupata kipigo kutoka kwa Wananchi wenye hasira wakati wakiwa katika harakati za kutaka kukimbia jirani na skuli ya darajani baada ya kutelekeza gari waliokuwa wakiitumia aina ya Noah.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kichanga chaokotwa ufukweni Sydney

Mtoto mchanga ameokotwa baada ya kukutwa amefukiwa na mchanga katika ufukwe, mjini Sydney

 

10 years ago

BBCSwahili

Watatu wauawa tukio la utekaji Sydney

Watu watatu wameripotiwa kufa baada ya makomandoo kuvamia mkahawa ambao mtu mwenye silaha aliwashikilia mateka watu kadha

 

11 years ago

TheCitizen

EDITORIAL: Let’s help our girls make it to Sydney 2015

>In two months or so, Taifa Queens will launch their campaign for a place in next year’s World Cup finals in Sydney, Australia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzee wa miaka 84 apotea majini Sydney

Maafisa nchini Australia wamesitisha zoezi la kumtafuta mzee mmoja aliyeanguka baharini mashariki mwa mji wa Sydney.

 

10 years ago

GPL

MAKOMANDO NDANI YA GLOBAL TV

Mtangazaji wa Global TV Online Mourad Alpha (katikati), akiwafanyia mahojiano Makomando muda mfupi baada ya kuwasili ndani ya mjengo huo.
Mwandishi wa magazeti ya Global Publishers, Musa Mateja (katikati), akiwa katika pozi na Makomando.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani