MAKOMANDO WAWAOKOA MATEKA SYDNEY, WAMUUA MTEKAJI
Huyu ndiye mtekaji raia wa Iran, Haron Monis. WATU watatu wameuawa akiwemo mtekaji raia wa Iran, Haron Monis aliyekuwa ameteka watu kwa zaidi ya saa 16 katika mgahawa mmoja jijini Sydney nchini Australia jana baada ya Makomando kuvamia eneo hilo. Watu wanne akiwemo polisi wamejeruhiwa wakati wa zoezi la uokoaji. Mmoja wa majeruhi akipatiwa huduma ya kwanza. Mtekaji huyo alikuwa ameachiwa kwa dhamana kwa makosa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Watu kadhaa wanashikiliwa mateka Sydney
10 years ago
GPLMTE MWENYE SILAHA AZIDI KUWASHIKILIA MATEKA KWENYE MGAHAWA JIJINI SYDNEY
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Polisi wampa kipigo mtekaji nyara Australia
10 years ago
VijimamboPOLISI WAWAOKOA MAJAMBAZI WALIONUSURIKA KIFO ZANZIBAR
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Kichanga chaokotwa ufukweni Sydney
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Watatu wauawa tukio la utekaji Sydney
11 years ago
TheCitizen05 Jul
EDITORIAL: Let’s help our girls make it to Sydney 2015
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Mzee wa miaka 84 apotea majini Sydney
10 years ago
GPLMAKOMANDO NDANI YA GLOBAL TV