Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Michuano ya Ufukweni kanda ya 5 yatajwa

Makundi ya kufuzu kucheza michezo ya Afrika (All Africa Games) ya mpira wa wavu ya ufukweni kanda ya 5 yametajwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania na michuano kanda ya 5 Afrika

Tanzania yachagua timu kuzikabili nchi nyingine za Afrika katika wavu.

 

9 years ago

Global Publishers

Denti chupuchupu kubakwa ufukweni

IMG_1317

Maria akisitilia na marafiki zake baada ya kunusurika kubakwa.

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
SIKUKUU NOMA! Zikiwa zimepita siku chache baada ya Sikukuu ya Krismasi kupita, imeacha matukio ya hatari ambapo denti wa Shule ya Zanaki, Dar aliyejulikana kwa jina moja la Maria alinusurika kubakwa katika Ufukwe wa Coco Beach.

Tukio hilo lilinaswa na kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM), siku ya ‘Boxing day’ ambapo denti huyo alinusurika kubakwa na wanaume wakware waliokuwa wakimzengea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kichanga chaokotwa ufukweni Sydney

Mtoto mchanga ameokotwa baada ya kukutwa amefukiwa na mchanga katika ufukwe, mjini Sydney

 

10 years ago

Michuzi

MDAU AKIPUNGA UPEPO UFUKWENI

Kamera ya Globu ya Jamii katika pita pita zake imefanikiwa kuinasa Taswira ya mdau huyu akiwa kaketi kwenye kiti chake huku pembeni akiwa kaegesha usafiri wake wakati akipunga upepo katika ufukwe wa bahari ya Hindi,jijini Dar jioni hii.

 

9 years ago

Global Publishers

Kiama mahekalu ya vigogo ufukweni!

IMG_9840

Moja ya mjengo huo ulioko ufukweni.

ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS
WAKATI zoezi la kutumbua majipu likiendelea kufanya kazi katika maeneo mbalimbali, safari hii kiama kinaelekea kuyakuta mahekalu ya vigogo yaliyojengwa kwa bei mbaya katika fukwe za Bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam, Risasi Mchanganyiko linaripoti.

Kwa mujibu wa duru za mazingira na kwenye Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, baada ya kuzidiwa na nguvu ya fedha kwa muda mrefu, majumba hayo yatabomolewa wakati...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania mwenyeji mpira wa ufukweni

Tanzania imechaguliwa na shirikisho la mpira wa wavu Afrika kuwa wenyeji wa michuano ya kanda ya Tano ya mpira wa wavu ufukweni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maximo aanzia kazi ufukweni

KOCHA Marcio Maximo, jana alianza kazi ya kuinoa timu hiyo katika mazoezi yaliyofanyika ufukwe wa Coco, jijini Dar es Salaam. Mazoezi hayo yaliyoanza jana majira ya saa 1:00 hadi saa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzoga wa nyangumi wapatikana ufukweni

Mzoga wa nyangumi umepatikana ufukweni nje ya mji Capetown Afrika Kusini.

 

9 years ago

Habarileo

Stars ya kuivaa Malawi yatajwa

KIKOSI cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoikabili Malawi, The Flames katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018, kimetangazwa kikiwa hakina mabadiliko na kilichoikabili Nigeria katika kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani