Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maximo aanzia kazi ufukweni

KOCHA Marcio Maximo, jana alianza kazi ya kuinoa timu hiyo katika mazoezi yaliyofanyika ufukwe wa Coco, jijini Dar es Salaam. Mazoezi hayo yaliyoanza jana majira ya saa 1:00 hadi saa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Pluijm kufanya kazi na Maximo

Hans Van der Pluijm.
Na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umesema kuwa usajili wa Kocha Mbrazili, Marcio Maximo lazima ufanywe kwa kutumia ripoti ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mholanzi, Hans van Der Pluijm.
Mbrazili huyo anatarajiwa kutua siku yoyote kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho kinachotarajiwa kushiriki Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika.… ...

 

11 years ago

GPL

MAXIMO AZUNGUMZA, KUANZA KAZI JUMATATU

Kocha Marcio Maximo akiongea na wanahabari (hawapo pichani) leo katika klabu ya Yanga. Kocha Marcio Maximo(katikati) akiwa na Kocha msadizi wake pia ni Mbrazili, Leornado Leiva Martins (kulia).…

 

10 years ago

BBCSwahili

Kichanga chaokotwa ufukweni Sydney

Mtoto mchanga ameokotwa baada ya kukutwa amefukiwa na mchanga katika ufukwe, mjini Sydney

 

9 years ago

Global Publishers

Kiama mahekalu ya vigogo ufukweni!

IMG_9840

Moja ya mjengo huo ulioko ufukweni.

ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS
WAKATI zoezi la kutumbua majipu likiendelea kufanya kazi katika maeneo mbalimbali, safari hii kiama kinaelekea kuyakuta mahekalu ya vigogo yaliyojengwa kwa bei mbaya katika fukwe za Bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam, Risasi Mchanganyiko linaripoti.

Kwa mujibu wa duru za mazingira na kwenye Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, baada ya kuzidiwa na nguvu ya fedha kwa muda mrefu, majumba hayo yatabomolewa wakati...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzoga wa nyangumi wapatikana ufukweni

Mzoga wa nyangumi umepatikana ufukweni nje ya mji Capetown Afrika Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Ufukweni kanda ya 5 yatajwa

Makundi ya kufuzu kucheza michezo ya Afrika (All Africa Games) ya mpira wa wavu ya ufukweni kanda ya 5 yametajwa.

 

10 years ago

Michuzi

MDAU AKIPUNGA UPEPO UFUKWENI

Kamera ya Globu ya Jamii katika pita pita zake imefanikiwa kuinasa Taswira ya mdau huyu akiwa kaketi kwenye kiti chake huku pembeni akiwa kaegesha usafiri wake wakati akipunga upepo katika ufukwe wa bahari ya Hindi,jijini Dar jioni hii.

 

9 years ago

Global Publishers

Denti chupuchupu kubakwa ufukweni

IMG_1317

Maria akisitilia na marafiki zake baada ya kunusurika kubakwa.

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
SIKUKUU NOMA! Zikiwa zimepita siku chache baada ya Sikukuu ya Krismasi kupita, imeacha matukio ya hatari ambapo denti wa Shule ya Zanaki, Dar aliyejulikana kwa jina moja la Maria alinusurika kubakwa katika Ufukwe wa Coco Beach.

Tukio hilo lilinaswa na kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM), siku ya ‘Boxing day’ ambapo denti huyo alinusurika kubakwa na wanaume wakware waliokuwa wakimzengea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani