Maximo aanzia kazi ufukweni
KOCHA Marcio Maximo, jana alianza kazi ya kuinoa timu hiyo katika mazoezi yaliyofanyika ufukwe wa Coco, jijini Dar es Salaam. Mazoezi hayo yaliyoanza jana majira ya saa 1:00 hadi saa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNSwrW0J6sPTEXvNMkPxiIpqJKhXb4Po4nO29c*3nSyLIKm80rofZXWah0b0oMqtgLRzO6PTsD*no7w06i5OR7TN/YANGAA.gif?width=650)
Pluijm kufanya kazi na Maximo
11 years ago
GPLMAXIMO AZUNGUMZA, KUANZA KAZI JUMATATU
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Kichanga chaokotwa ufukweni Sydney
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Kiama mahekalu ya vigogo ufukweni!
Moja ya mjengo huo ulioko ufukweni.
ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS
WAKATI zoezi la kutumbua majipu likiendelea kufanya kazi katika maeneo mbalimbali, safari hii kiama kinaelekea kuyakuta mahekalu ya vigogo yaliyojengwa kwa bei mbaya katika fukwe za Bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam, Risasi Mchanganyiko linaripoti.
Kwa mujibu wa duru za mazingira na kwenye Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, baada ya kuzidiwa na nguvu ya fedha kwa muda mrefu, majumba hayo yatabomolewa wakati...
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Mzoga wa nyangumi wapatikana ufukweni
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Michuano ya Ufukweni kanda ya 5 yatajwa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RLb1JJ9HCxs/VBw1HrGyoII/AAAAAAAGkho/jDQ0JMsF0-g/s72-c/DSCF9015.jpg)
MDAU AKIPUNGA UPEPO UFUKWENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RLb1JJ9HCxs/VBw1HrGyoII/AAAAAAAGkho/jDQ0JMsF0-g/s1600/DSCF9015.jpg)
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Denti chupuchupu kubakwa ufukweni
Maria akisitilia na marafiki zake baada ya kunusurika kubakwa.
Deogratius Mongela na Chande Abdallah
SIKUKUU NOMA! Zikiwa zimepita siku chache baada ya Sikukuu ya Krismasi kupita, imeacha matukio ya hatari ambapo denti wa Shule ya Zanaki, Dar aliyejulikana kwa jina moja la Maria alinusurika kubakwa katika Ufukwe wa Coco Beach.
Tukio hilo lilinaswa na kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM), siku ya ‘Boxing day’ ambapo denti huyo alinusurika kubakwa na wanaume wakware waliokuwa wakimzengea...