Tanzania,Kenya kupambana Soka Ufukweni
Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni imeibuka kidedea baada ya kuifunga Kenya mabao 5-3
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Tanzania yaifunga Kenya soka ya ufukweni
Timu Tanzania ya mpira wa ufukweni leo imeiondoa Kenya katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, kwa kuifunga kwa mabao 7-6.
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Soka Ufukweni:Tanzania, Misri kupmbana
Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni (Beach Soccer) inatarajiwa kucheza na timu ya Taifa ya Misri siku ya ijumaa
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Kenya yaifunga Burundi wavu ufukweni Tanzania
Kenya (wanaume) imeifunga Burundi kwa seti 2-1 katika michuamo ya wavu ya ufukweni .
9 years ago
Habarileo11 Oct
Mkufunzi soka la ufukweni ateta na makocha, waamuzi
MKUFUNZI wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) wa Soka la Ufukweni, Twalib Hilal amekutana na makocha, waamuzi wa mchezo wa ufukweni waliopo jijii Dar es Salaam ili kubadilishana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
MASTAA WA SOKA WAJIMWAGIA NDOO YA MAJI BARIDI KUPAMBANA NA UGONJWA WA ALS
Cristiano Ronaldo. Mesut Ozil. Mario Balotelli. Mario Gotze.
MASTAA mbalimbali wa soka duniani wameungana na wenzao katika kupambana na ugonjwa wa Amyotrophic Lateral Sclerosis (ALS), maarufu kama Lou Gehrig kupitia kampeni ya ‘Ice Bucket Challenge’…
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Tanzania mwenyeji mpira wa ufukweni
Tanzania imechaguliwa na shirikisho la mpira wa wavu Afrika kuwa wenyeji wa michuano ya kanda ya Tano ya mpira wa wavu ufukweni.
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Kenya kupambana na wafanyakazi ghushi
Serikali itaanza kuwasajili wafanyakazi wa umma kwa njia ya kielektroniki ili kukabiliana na tatizo la wafanyakazi bandia
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kenya kutumia ndege kupambana na ujangili
Kenya inajiandaa kuanzisha mradi wa kutumia ndege zisizokuwa na rubani kuimarisha ulinzi katika mbuga za wanyama, kutokana na kuongezeka kwa ujangili
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuullGSEgvqkBIWGieJBj2pnnh7nv2ZzpegAKRa*qxdMENAs6-J32p3BVFBeT8X5z6fmVsc-JpUEfRDwNvSJOO451r/keneyttra.jpg?width=650)
WAKUU WA SHIRIKA LA KUPAMBANA NA UFISADI NCHINI KENYA WASIMAMISHWA KAZI
Rais wa serikali ya Kenya, Uhuru Kenyatta. Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amewasimamisha kazi wakuu wawili wa shirika linalopambana na ufisadi nchini humo, siku moja tu baada ya bunge kupitisha mswaada inaowalaumu kwa uzembe na utepetevu. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa msemaji wa Ikulu ya Rais Manoah Esipisu, tume ya maadili na kupambana na ufisadi, itaendelea na kazi yake licha ya kusimamishwa kwa wakuu hao wawili. Wakuu hao...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania