Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkufunzi soka la ufukweni ateta na makocha, waamuzi

MKUFUNZI wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) wa Soka la Ufukweni, Twalib Hilal amekutana na makocha, waamuzi wa mchezo wa ufukweni waliopo jijii Dar es Salaam ili kubadilishana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Waamuzi wa soka kuchuana Jan. 1

WAAMUZI wa soka mkoa wa Dar es Salaam wameandaa mechi maalumu itakayochezwa Januari 1, katika Uwanja wa Karume ili kufanya tathmini ya kazi yao kuelekea 2014. Mratibu wa mechi hiyo,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Soka Ufukweni:Tanzania, Misri kupmbana

Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni (Beach Soccer) inatarajiwa kucheza na timu ya Taifa ya Misri siku ya ijumaa

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yaifunga Kenya soka ya ufukweni

Timu Tanzania ya mpira wa ufukweni leo imeiondoa Kenya katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, kwa kuifunga kwa mabao 7-6.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania,Kenya kupambana Soka Ufukweni

Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu wa Ufukweni imeibuka kidedea baada ya kuifunga Kenya mabao 5-3

 

10 years ago

GPL

IJUE HISTORIA YA KINYUNYIZIO ‘SPRAY’ INAYOTUMIWA NA WAAMUZI WA SOKA

Huyu ndiye mtengenezaji wa aina mpya ya kinyunyizio ‘9-15’, Muargentina Pablo Silva. Kinyunyizio hicho kikitumika katika baadhi ya mechi.…

 

9 years ago

Habarileo

Makocha watakiwa kufundisha soka

RAIS wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kama kuna waganga wa soka makocha wa nini?

MBEYA City, moja ya timu ngeni zilizoonyesha kiwango cha kuvutia tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Agosti 24, mwaka jana, imekuwa tishio kubwa kwa timu nyingine zikiwemo kongwe za...

 

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

11 years ago

BBCSwahili

Pochettino ni mkufunzi wa Tottenham

Tottenham wamemwajiri Pochettino kuwa mkufunzi wao mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani