Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pochettino ni mkufunzi wa Tottenham

Tottenham wamemwajiri Pochettino kuwa mkufunzi wao mpya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Pochettino majanga, Mourinho kicheko

MTZ30ABDUCADO EMMANUEL NA MITANDAO

DIMBA la White Hart Lane linatarajia kuwaka moto kesho saa 9.00 alasiri kwa mchezo wa watani wa jadi wa jiji la London ‘London Derby’, wakati wenyeji Tottenham Hotspur watakapoikaribisha Chelsea katika Ligi Kuu England.

Kuelekea mchezo huo, Kocha wa Tottenham, Mauricio Pochettino, ameanza kuuona mgumu kufuatia timu yake kutopata muda mwingi wa kujiandaa ukilinganisha na Chelsea.

“Tunakabiliana na timu ngumu, katika hali hii Chelsea ambayo inazo siku tatu zaidi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kane hauzwi kwa kiasi chochote – Pochettino

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Tottenham Hotspur, Mauricio Pochettino (pichani) amesema timu yake haipo tayari kumuuza mshambuliaji wa klabu hiyo, Harry Kane kwa kiasi chochote ambacho kitawekwa mezani kwa ajili ya kupata saini ya mchezaji huyo.

Kane ambaye aliifungia Tottenham magoli mawili katika mchezo wa jumamosi dhidi ya Norwich amekuwa akionekana kuhitajika na baadhi vilabu ikiwemo Manchester United lakini Pottechino amesema mchezaji huyo hataondoka klabuni hapo na ataendelea...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkufunzi wa Fifa atajwa Yanga

Mkufunzi wa Shirikisho la Soka Kimataifa (Fifa), Henry Tandau ametajwa kuchukua nafasi ya katibu mkuu wa klabu ya Yanga iliyoachwa wazi na Benno Njovu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Simpson amlalamikia mkufunzi wake

Mwanariadha maarufu wa Jamaica, Sherone Simpson amekana kutumia dawa za kuongeza nguvu michezoni zilizopigwa marufuku

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yampiga kalamu mkufunzi Keshi

Stephen Keshi amepigwa kalamu kama kocha wa timu ya Nigeria The Super Eagles na nafasi yake kuchukuliwa na Shaibu Amodu kulingana na shirikisho la soka nchini Nigeria NFF.

 

10 years ago

Habarileo

Mkufunzi ‘Red Brigade’ atiwa mbaroni

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe.POLISI mkoani Morogoro inamshikilia Naibu Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Boniface Jacob (32) , mkazi wa Dar es Salaam kwa kudaiwa kukiuka Sheria ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ya Vyama vya Siasa nchini inayozuia uundaji wa vikundi vya ulinzi wa vyama.

 

10 years ago

Mwananchi

Loveness: Natamani niwe mkufunzi wa michezo

Licha ya kuwa ndiye mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Sanaa kwa shule za Sekondari (Umisseta) ya msimu huu, Loveness Daudi amekuwa akitumika kama mchezaji kiraka wa Kanda ya Ziwa Magharibi katika mchezo wa netiboli.

 

11 years ago

BBCSwahili

Giggs ;Sikuwa tayari kuwa mkufunzi

Ryan Giggs amesema hakuwa tayari kuwa mkufunzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ramsey sasa ndio mkufunzi mkuu wa QPR

Kilabu ya QPR imemuajiri Chris Ramsey kama mkufunzi mkuu kwa kandarasi ya miaka mitatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani