Pochettino ni mkufunzi wa Tottenham
Tottenham wamemwajiri Pochettino kuwa mkufunzi wao mpya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Pochettino majanga, Mourinho kicheko
ABDUCADO EMMANUEL NA MITANDAO
DIMBA la White Hart Lane linatarajia kuwaka moto kesho saa 9.00 alasiri kwa mchezo wa watani wa jadi wa jiji la London ‘London Derby’, wakati wenyeji Tottenham Hotspur watakapoikaribisha Chelsea katika Ligi Kuu England.
Kuelekea mchezo huo, Kocha wa Tottenham, Mauricio Pochettino, ameanza kuuona mgumu kufuatia timu yake kutopata muda mwingi wa kujiandaa ukilinganisha na Chelsea.
“Tunakabiliana na timu ngumu, katika hali hii Chelsea ambayo inazo siku tatu zaidi...
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Kane hauzwi kwa kiasi chochote – Pochettino
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Tottenham Hotspur, Mauricio Pochettino (pichani) amesema timu yake haipo tayari kumuuza mshambuliaji wa klabu hiyo, Harry Kane kwa kiasi chochote ambacho kitawekwa mezani kwa ajili ya kupata saini ya mchezaji huyo.
Kane ambaye aliifungia Tottenham magoli mawili katika mchezo wa jumamosi dhidi ya Norwich amekuwa akionekana kuhitajika na baadhi vilabu ikiwemo Manchester United lakini Pottechino amesema mchezaji huyo hataondoka klabuni hapo na ataendelea...
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Mkufunzi wa Fifa atajwa Yanga
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Simpson amlalamikia mkufunzi wake
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Nigeria yampiga kalamu mkufunzi Keshi
10 years ago
Habarileo20 May
Mkufunzi ‘Red Brigade’ atiwa mbaroni
POLISI mkoani Morogoro inamshikilia Naibu Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Boniface Jacob (32) , mkazi wa Dar es Salaam kwa kudaiwa kukiuka Sheria ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ya Vyama vya Siasa nchini inayozuia uundaji wa vikundi vya ulinzi wa vyama.
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Loveness: Natamani niwe mkufunzi wa michezo
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
10 years ago
BBCSwahili19 May
Ramsey sasa ndio mkufunzi mkuu wa QPR