Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kane hauzwi kwa kiasi chochote – Pochettino

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Tottenham Hotspur, Mauricio Pochettino (pichani) amesema timu yake haipo tayari kumuuza mshambuliaji wa klabu hiyo, Harry Kane kwa kiasi chochote ambacho kitawekwa mezani kwa ajili ya kupata saini ya mchezaji huyo.

Kane ambaye aliifungia Tottenham magoli mawili katika mchezo wa jumamosi dhidi ya Norwich amekuwa akionekana kuhitajika na baadhi vilabu ikiwemo Manchester United lakini Pottechino amesema mchezaji huyo hataondoka klabuni hapo na ataendelea...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 04.03.2020: Bellingham, Kane, Mourinho, Pochettino, Zidane, Sanchez, Rakitic

Tottenham italazimika kufanya kila liwezekanalo wasimpoteze mshambuliaji wao Harry Kane, 26, msimu wa joto ikiwa watakosa kufuzu kwa Champions League msimu ujao. (Telegraph)

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyota ya mafanikio kung'aa kwa Kane?

Harry Kane ameingia kuwania tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa kulipwa na mchezaji bora mwenye umri mdogo katika ligi ya England.

 

10 years ago

Mwananchi

Jimy Iyke: Niko tayari kufanya chochote kwa ajili ya watoto

Muonekano wa sura yake na nafasi ambazo mara nyingi hupangiwa kucheza kwenye filamu humfanya kuonekana mwanaume katili na asiye na chembe ya huruma ndani ya moyo wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hodgson atoa ya moyoni kwa Harry Kane

Kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson amesema ingeshangaza sana kama mchezaji kinda wa klabu ya Tottenham Harry Kane.

 

9 years ago

Habarileo

Kavumbagu hauzwi- Hall

KOCHA wa Azam FC Stewart Hall amesema hatarajii kumuuza Didier Kavumbagu katika timu yoyote ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa bado ni tegemeo lao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Messi hauzwi, asema Bartomeu

Mshambulizi matata wa klabu ya Barcelona Lionel Messi hatauzwa, amesema rais wa kilabu hiyo Josep Maria Bartomeu.

 

10 years ago

Mwananchi

Ancelotti: Mwacheni, Khedira hauzwi

Kocha wa Real Madrid amesema kiungo wake aliye majeruhi, Sami Khedira hauzwi kwa gharama yoyote ile wakati wa dirisha dogo Januari mwakani.

 

9 years ago

Michuzi

Vijana msitumike kwa maslahi ya Chama chochote cha siasa - Tume ya taifa ya uchaguzi

Na Ally Daud-Maelezo
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa wito kwa vijana kutojihusisha na vitendo vya fujo katika kipindi hiki cha  kampeni  badala yake waelekeze nguvu na  juhudi  zaidi katika kujenga uchumi wa taifa.Akiongea katika mkutano uliowakutanisha NEC na wawakilishi wa vijana kutoka mikoa mbalimbali nchini Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahmoud Hamid  (pichani) alisema kuwa  vijana wasitumike na vyama vya siasa kama kichocheo cha fujo .


“Vijana...

 

9 years ago

Mwananchi

Kwa nini tunatokwa jasho kupita kiasi?

Inawezekana katika maisha ya kila siku umewahi kukutana na mtu ambaye akikusalimu na kukupa mkono, unahisi majimaji mkononi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani