Kane hauzwi kwa kiasi chochote – Pochettino
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Tottenham Hotspur, Mauricio Pochettino (pichani) amesema timu yake haipo tayari kumuuza mshambuliaji wa klabu hiyo, Harry Kane kwa kiasi chochote ambacho kitawekwa mezani kwa ajili ya kupata saini ya mchezaji huyo.
Kane ambaye aliifungia Tottenham magoli mawili katika mchezo wa jumamosi dhidi ya Norwich amekuwa akionekana kuhitajika na baadhi vilabu ikiwemo Manchester United lakini Pottechino amesema mchezaji huyo hataondoka klabuni hapo na ataendelea...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 04.03.2020: Bellingham, Kane, Mourinho, Pochettino, Zidane, Sanchez, Rakitic
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Nyota ya mafanikio kung'aa kwa Kane?
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Jimy Iyke: Niko tayari kufanya chochote kwa ajili ya watoto
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Hodgson atoa ya moyoni kwa Harry Kane
9 years ago
Habarileo20 Dec
Kavumbagu hauzwi- Hall
KOCHA wa Azam FC Stewart Hall amesema hatarajii kumuuza Didier Kavumbagu katika timu yoyote ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa bado ni tegemeo lao.
11 years ago
BBCSwahili28 Jan
Messi hauzwi, asema Bartomeu
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Ancelotti: Mwacheni, Khedira hauzwi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O0pqIp9tqNk/Vg8ASd-xkjI/AAAAAAAH8ds/z1MVXJhYb9s/s72-c/download.jpg)
Vijana msitumike kwa maslahi ya Chama chochote cha siasa - Tume ya taifa ya uchaguzi
![](http://4.bp.blogspot.com/-O0pqIp9tqNk/Vg8ASd-xkjI/AAAAAAAH8ds/z1MVXJhYb9s/s320/download.jpg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa wito kwa vijana kutojihusisha na vitendo vya fujo katika kipindi hiki cha kampeni badala yake waelekeze nguvu na juhudi zaidi katika kujenga uchumi wa taifa.Akiongea katika mkutano uliowakutanisha NEC na wawakilishi wa vijana kutoka mikoa mbalimbali nchini Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji mkuu Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahmoud Hamid (pichani) alisema kuwa vijana wasitumike na vyama vya siasa kama kichocheo cha fujo .
“Vijana...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Kwa nini tunatokwa jasho kupita kiasi?