Ancelotti: Mwacheni, Khedira hauzwi
Kocha wa Real Madrid amesema kiungo wake aliye majeruhi, Sami Khedira hauzwi kwa gharama yoyote ile wakati wa dirisha dogo Januari mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-WDhzyqPnxjU/VXeF-v0qaCI/AAAAAAADq7M/MNSROoUVQkc/s72-c/sami-khedira-real-madrid-football_3231235.jpg.pagespeed.ce.DB_rMCIhNS.jpg)
KHEDIRA AENDA JUVENTUS
![](http://1.bp.blogspot.com/-WDhzyqPnxjU/VXeF-v0qaCI/AAAAAAADq7M/MNSROoUVQkc/s640/sami-khedira-real-madrid-football_3231235.jpg.pagespeed.ce.DB_rMCIhNS.jpg)
Khedira aenda Juventus
Chelsea na Higuain Bilic kocha mpya West HamAlves abaki Barcelona, Carver ‘out’ NewcastleMabingwa wa Italia, Juventus wamemsajili kiungo mahiri wa Real Madrid na Ujerumani, Sami Khedira ambaye ni mchezaji huru.Khedira (28) alipata kuhusishwa na Arsenal na Chelsea misimu miwili iliyopita, lakini imeelekea kwamba klabu hizo za London hazikumhitaji tena. Manchester United nao walihusishwa naye.
Yawezekana pia kwamba zimezidiwa kete na Wataliano waliofika fainali ya Klabu...
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Sami Khedira nje miezi miwili
9 years ago
Habarileo20 Dec
Kavumbagu hauzwi- Hall
KOCHA wa Azam FC Stewart Hall amesema hatarajii kumuuza Didier Kavumbagu katika timu yoyote ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa bado ni tegemeo lao.
11 years ago
BBCSwahili28 Jan
Messi hauzwi, asema Bartomeu
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Kane hauzwi kwa kiasi chochote – Pochettino
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Tottenham Hotspur, Mauricio Pochettino (pichani) amesema timu yake haipo tayari kumuuza mshambuliaji wa klabu hiyo, Harry Kane kwa kiasi chochote ambacho kitawekwa mezani kwa ajili ya kupata saini ya mchezaji huyo.
Kane ambaye aliifungia Tottenham magoli mawili katika mchezo wa jumamosi dhidi ya Norwich amekuwa akionekana kuhitajika na baadhi vilabu ikiwemo Manchester United lakini Pottechino amesema mchezaji huyo hataondoka klabuni hapo na ataendelea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXGq2McutSIVlCr-xTRa3cvqE05Fzfwj2iKJoM0d*vPNjJ7hThO8lyai5gPdndQrxlokn5BVrTzLh5XJo0Johnx4/rose.jpg)
MALICK: MWACHENI ROSE NDAUKA AJIRUSHE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqygaZswgOGIsqSuwnxgUFfGO4MaptglAfUNyaPrG61DDAEczn47G*4sa7xD3C-WYLcF4LQ6oJF1vxDUL6RRLjyU/wemaa.jpg?width=650)
WEMA: MWACHENI DIAMOND ANIONEE WIVU
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
10 years ago
Bongo Movies15 May
Uwoya: Siogopi Maneno, Ila Mwacheni Mwanangu
Kufuatia kitendo cha baadhi ya mashabiki kuwashambulia mastaa kwenye kurasa zao mitandaoni kushamili, Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya ameibuka na kuweka angalizo hili kwa followers wake.
Mamboz! Nataka niulize swali hivi kunamtu nilimlazimisha kuni follow au ni kwa mapenz tuuu? sasa kwanini mtu anataka kuchukua jukumu la mzazi wangu kujifanya anajua sana maisha yangu wakati toka nizaliwe hajawahi kuninunulia ata pipiii!!!
Sasa ni hivi kusemwa mimi siogopi na matus pia siogopi kabisa coz...