Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ancelotti: Mwacheni, Khedira hauzwi

Kocha wa Real Madrid amesema kiungo wake aliye majeruhi, Sami Khedira hauzwi kwa gharama yoyote ile wakati wa dirisha dogo Januari mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KHEDIRA AENDA JUVENTUS


Khedira aenda Juventus
Chelsea na Higuain Bilic kocha mpya West HamAlves abaki Barcelona, Carver ‘out’ NewcastleMabingwa wa Italia, Juventus wamemsajili kiungo mahiri wa Real Madrid na Ujerumani, Sami Khedira ambaye ni mchezaji huru.Khedira (28) alipata kuhusishwa na Arsenal na Chelsea misimu miwili iliyopita, lakini imeelekea kwamba klabu hizo za London hazikumhitaji tena. Manchester United nao walihusishwa naye.
Yawezekana pia kwamba zimezidiwa kete na Wataliano waliofika fainali ya Klabu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sami Khedira nje miezi miwili

Kiungo wa klabu ya Juventus Sami Khedira atakua nje ya uwanja kwa miezi miwili

 

9 years ago

Habarileo

Kavumbagu hauzwi- Hall

KOCHA wa Azam FC Stewart Hall amesema hatarajii kumuuza Didier Kavumbagu katika timu yoyote ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa bado ni tegemeo lao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Messi hauzwi, asema Bartomeu

Mshambulizi matata wa klabu ya Barcelona Lionel Messi hatauzwa, amesema rais wa kilabu hiyo Josep Maria Bartomeu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kane hauzwi kwa kiasi chochote – Pochettino

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Tottenham Hotspur, Mauricio Pochettino (pichani) amesema timu yake haipo tayari kumuuza mshambuliaji wa klabu hiyo, Harry Kane kwa kiasi chochote ambacho kitawekwa mezani kwa ajili ya kupata saini ya mchezaji huyo.

Kane ambaye aliifungia Tottenham magoli mawili katika mchezo wa jumamosi dhidi ya Norwich amekuwa akionekana kuhitajika na baadhi vilabu ikiwemo Manchester United lakini Pottechino amesema mchezaji huyo hataondoka klabuni hapo na ataendelea...

 

10 years ago

GPL

MALICK: MWACHENI ROSE NDAUKA AJIRUSHE

Na Gladness Mallya BAADA ya msanii wa filamu Bongo, Rose Ndauka kuonekana akijiachia viwanja mbalimbali tofauti na alivyokuwa akiishi awali, mzazi mwenzake, Malick Bandawe, ameibuka na kumfungukia kuwa aachwe ajirushe. Malick Bandawe. Malick alifungua kinywa kufuatia madai kwamba alipokuwa akiishi na Rose alikuwa akimpa sheria kali na kumkataza kwenda ‘out’ ndiyo maana alikuwa hajiachii kama ilivyo sasa na hiyo ni...

 

11 years ago

GPL

WEMA: MWACHENI DIAMOND ANIONEE WIVU

Stori: Imelda Mtema STAA asiyekaukiwa habari Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa ‘anainjoi’ kuona mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ anamuonea wivu kwani anaamini ndiyo penzi la dhati. Wema Sepetu ‘Madam’. Akifafanua hilo mbele ya kinasa sauti chetu, Wema alisema wivu kwake ni kipimo kikubwa cha kutambua Diamond anamzimikia kiasi gani. “Baby (Diamond)...

 

10 years ago

Raia Mwema

Mwacheni Lowassa, msimtie uchungu zaidi

MKIZI ni aina ya samaki mwenye hasira sana.

Mayage S. Mayage

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwoya: Siogopi Maneno, Ila Mwacheni Mwanangu

Kufuatia kitendo cha baadhi ya mashabiki kuwashambulia mastaa kwenye kurasa zao mitandaoni kushamili, Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya ameibuka na kuweka angalizo hili kwa followers wake.

Mamboz! Nataka niulize swali hivi kunamtu nilimlazimisha kuni follow au ni kwa mapenz tuuu? sasa kwanini mtu anataka kuchukua jukumu la mzazi wangu kujifanya anajua sana maisha yangu wakati toka nizaliwe hajawahi kuninunulia ata pipiii!!!

Sasa ni hivi kusemwa mimi siogopi na matus pia siogopi kabisa coz...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani