Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KHEDIRA AENDA JUVENTUS


Khedira aenda Juventus
Chelsea na Higuain Bilic kocha mpya West HamAlves abaki Barcelona, Carver ‘out’ NewcastleMabingwa wa Italia, Juventus wamemsajili kiungo mahiri wa Real Madrid na Ujerumani, Sami Khedira ambaye ni mchezaji huru.Khedira (28) alipata kuhusishwa na Arsenal na Chelsea misimu miwili iliyopita, lakini imeelekea kwamba klabu hizo za London hazikumhitaji tena. Manchester United nao walihusishwa naye.
Yawezekana pia kwamba zimezidiwa kete na Wataliano waliofika fainali ya Klabu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ancelotti: Mwacheni, Khedira hauzwi

Kocha wa Real Madrid amesema kiungo wake aliye majeruhi, Sami Khedira hauzwi kwa gharama yoyote ile wakati wa dirisha dogo Januari mwakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sami Khedira nje miezi miwili

Kiungo wa klabu ya Juventus Sami Khedira atakua nje ya uwanja kwa miezi miwili

 

11 years ago

BBC

Juventus 1-0 Fiorentina

Serie A leaders Juventus go 14 points clear with a 1-0 victory over Fiorentina thanks to a goal from Ghana's Kwadwo Asamoah.

 

10 years ago

BBC

Juventus 1-2 Fiorentina

Two Mohamed Salah goals give Fiorentina a 2-1 first-leg advantage in their Coppa Italia semi-final against Juventus.

 

10 years ago

BBCSwahili

Barcelona waishinda Juventus 3-1

Barcelona walitawazwa mabingwa wa Ulaya kwa mara ya tano baada ya kuichapa Juventus mabao matatu kwa moja katika mechi kali ya fainali iliochezwa katika uwanja wa Olimpiki wa Berlin.

 

5 years ago

Black &Amp; White &Amp; Read All Over

How should Juventus line up against Lyon?

How should Juventus line up against Lyon?  Black & White & Read All OverLyon v Juventus prediction, live stream, team news | Champions League  SquawkaBonucci: 'De Ligt will become one of the greatest'  JuveFCLyon face up to Ronaldo and Juventus as Juninho era struggles for lift-off  BeSoccer ENMan Utd, Arsenal in pursuit of Juventus midfielder after contract reboot Manchester United will rival Arsenal  Teamtalk.comView Full coverage on Google...

 

9 years ago

BBCSwahili

Blatter aenda mahakamani

Rais wa FIFA Sepp Blatter amekata rufaa dhidi ya uamuzi wa kamati ya maadili ya FIFA wa kumsimamisha kazi kwa siku tisini .

 

10 years ago

BBCSwahili

Juventus yaiangusha Real Madrid

Katika hali isiyotarajiwa Juventus ya Italia imeingia fainali ya klabu bingwa barani Ulaya ,kwa goli 3 kwa 2 dhidi Real Madrid ya Hispania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Fainali:Barcelona kumenyana na Juventus

Mshambuliaji wa Barcelona raia wa Brazil Neymar anaamini kwamba urafiki wake na Lionel Messi na mshambuliaji Luis Suarez ndio sababu ya mafanikio makubwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani