Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blatter aenda mahakamani

Rais wa FIFA Sepp Blatter amekata rufaa dhidi ya uamuzi wa kamati ya maadili ya FIFA wa kumsimamisha kazi kwa siku tisini .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.

Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.

Licha ya kuwafungia miaka...

 

10 years ago

Vijimambo

KHEDIRA AENDA JUVENTUS


Khedira aenda Juventus
Chelsea na Higuain Bilic kocha mpya West HamAlves abaki Barcelona, Carver ‘out’ NewcastleMabingwa wa Italia, Juventus wamemsajili kiungo mahiri wa Real Madrid na Ujerumani, Sami Khedira ambaye ni mchezaji huru.Khedira (28) alipata kuhusishwa na Arsenal na Chelsea misimu miwili iliyopita, lakini imeelekea kwamba klabu hizo za London hazikumhitaji tena. Manchester United nao walihusishwa naye.
Yawezekana pia kwamba zimezidiwa kete na Wataliano waliofika fainali ya Klabu...

 

10 years ago

GPL

MKE AENDA KUJIRUSHA, AFA

Rest in peace! Mwanamke, Glorian Zuberi ‘Fatuma’ amefariki dunia baada ya bodaboda aliyokuwa amepanda kugongwa na gari aina fuso, akitokea kujirusha. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri hivi karibuni, majira ya saa 8:00 usiku katika Barabara Kuu ya Morogoro-lringa eneo la Kwajeta jirani na Ukumbi wa Contena mjini hapa. Habari zilieleza kwamba mwanamke huyo alipokuwa kwenye ukumbi huo akila bata, alionekana kuwa...

 

10 years ago

GPL

MKE WA DUDE AENDA KWAO

Brighton Masalu Madai mazito! Mke wa staa wa maigizo Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ anayefahamika zaidi kwa jina la Eva wa Dude anadaiwa kwenda kwao kufuatia kuwepo kwa skendo ya kimapenzi ya mumewe akihusishwa na penzi la mwigizaji mwenzake, Ester Kiama. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1DmgKs7

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda aenda Kiteto leo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda leo anakwenda Wilaya ya Kiteto, Arusha kutafuta suluhu ya mapigano baina ya wakulima na wafugaji katika Hifadhi ya Embroi Murtangosi yaliyosababisha vifo vya watu 10.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete aenda Marekani

Rais Jakaya Kikwete ameondoka Jumatatu usiku kwenda Marekani kuanza ziara ya wiki mbili nchini humo.

 

9 years ago

GPL

AMKIMBIA MUME, AENDA KUCHUMBIWA

Mwandishi Wetu MAJANGA! Mwanadada Elizabeth Kinyami mkazi wa Kibaha mkoani Pwani amedaiwa kumtoroka mumewe, Robert Nassor na kwenda Tanga kuchumbiwa na mwanaume mwingine, Risasi Mchanganyiko limetonywa.  Elizabeth Kinyami anayedaiwa kumtoroka mumewe. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini Robert alifiwa na mkewe wa kwanza ambaye alizaa naye watoto wawili, lakini wakati akiwa naye, alikuwa akichepuka na Elizabeth, hivyo baada ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Compaore aenda uhamishoni Morocco

Nchi ya Ivory Coast imesema Rais wa Burkina Faso aliyeondolewa madarakani Blaise Compaore ameondoka nchini humo

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani