Pinda aenda Kiteto leo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda leo anakwenda Wilaya ya Kiteto, Arusha kutafuta suluhu ya mapigano baina ya wakulima na wafugaji katika Hifadhi ya Embroi Murtangosi yaliyosababisha vifo vya watu 10.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Pinda acharuka Kiteto
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ameagiza wakazi wa Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara wanaolima kwenye Hifadhi ya Jamii ya Emboley Murtangos waridhie amri ya Mahakama ya Rufaa ya kuwataka waondoke kwenye...
11 years ago
Habarileo17 Jan
Pinda atoa suluhisho la mapigano Kiteto
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewataka wakazi wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, wanaolima kwenye Hifadhi ya Jamii ya Emboley Murtangos, waridhie amri iliyotolewa na Mahakama ya Rufaa ya kuwataka waondoke kwenye eneo hilo wakati Serikali ikitafuta ufumbuzi wa suala la wapi watakwenda.
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
CHADEMA yataka Pinda awatimue DC, DED Kiteto
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametakiwa kuwachukulia hatua za kinidhamu viongozi wa Wilaya ya Kiteto akiwemo Mkuu wa Wilaya hiyo, Martha Umbulla na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Jane Mutagurwa na amshauri...
10 years ago
Michuzi07 Mar
10 years ago
TheCitizen19 Nov
We’ll bury many if Kiteto situation isn’t addressed penings in Kiteto?
11 years ago
IPPmedia23 Feb
Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto
IPPmedia
Last week The Guardian on Sunday brought you a story on the recent land conflict pitting farmers and pastoralists at the Kalikala hamlet in Kiteto District. In this second installment Gerald Kitabu reveals how the unfolding feud led to the killings of more than 10 ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s72-c/10.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI KITETO,LEO AELEKEA WILAYANI SIMANJIRO MKOANI MANYARA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s1600/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Z3UFj1G8J0/U4oMa_-6G7I/AAAAAAACiks/zcprQEoNIDI/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yyQ4r6KRmmc/U4qdBWmmpOI/AAAAAAACinQ/tSXrUkruOCU/s1600/7.jpg)
11 years ago
Habarileo17 Apr
Hatima kesi ya Pinda leo
HATIMA ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu Mizengo Pinda inatarajiwa kujulikana leo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na upande wa mawakili wa Pinda pamoja na Mwanasheria Mkuu (AG).