Hatima kesi ya Pinda leo
HATIMA ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu Mizengo Pinda inatarajiwa kujulikana leo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na upande wa mawakili wa Pinda pamoja na Mwanasheria Mkuu (AG).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Hatima pingamizi kesi ya Pinda leo
10 years ago
Habarileo28 Aug
Hatima ya kesi ya Lukaza Oktoba 8
HATIMA ya washitakiwa wawili wa kesi ya wizi wa Sh bilioni sita za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), itajulikana Oktoba 8 mwaka huu wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu itakapotoa uamuzi kama wana kesi ya kujibu au la.
10 years ago
Habarileo07 Apr
Hatima kesi ya Mtikila Aprili 30
HATIMA ya kesi iliyofunguliwa na Mchungaji Christopher Mtikila katika Mahakama ya Rufaa akipinga uuzwaji wa jengo la iliyokuwa Forodhani Hoteli itajulikana Aprili 30 mwaka huu ambako Msajili wa Mahakama hiyo atasoma uamuzi.
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Hatima ya ugaidi kesi ya Uamsho wiki ijayo
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Pinda: Uchaguzi unasubiri hatima ya Katiba Mpya
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Hatima ya nyumba za mabondeni leo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
HATIMA ya nyumba zilizojengwa maeneo ya mabondeni katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salam itajulikana leo kama zitabomolewa au laa.
Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi, inatarajia kutoa uamuzi huo, baada wananchi kufungua kesi wakipinga kubomolewa nyumba zao.
Uamuzi huo, unatarajiwa kutolewa mahakamani hapo mbele ya Jaji Panterine Kente wa mahakama hiyo baada ya wananchi wanane kwa niaba ya wenzao wanaoishi katika maeneo hayo kufungua kesi kupinga hatua ya...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Hatima ya vigogo Kinondoni leo
HUKUMU ya kesi namba 38/2013 ya matumizi mabaya ya madaraka inayomkabili mweka hazina wa Manispaa ya Kinondoni, Alfred Mlowe na wenzake 12, inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Mkoa Tanga....
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Hatima ya Rage kujulikana leo
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
Hatima ya mpango wa nyuklia wa Iran leo