Hatima ya ugaidi kesi ya Uamsho wiki ijayo
Jaji Fauz Twaib wa Mahakama Kuu wiki ijayo atatoa uamuzi wa maombi ya kufutiwa mashtaka ya ugaidi yanayowakabili viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Aug
Kiongozi wa Uamsho aunganishwa kesi ugaidi
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) ameunganishwa na washitakiwa 19 wa kesi ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Kiongozi wa Uamsho kortini kesi ya ugaidi
11 years ago
Habarileo07 Aug
Kiongozi wa Uamsho aunganishwa na washtakiwa 19 kesi ugaidi
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) ameunganishwa na washitakiwa 19 wa kesi ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
9 years ago
StarTV12 Nov
KESI YA UGAIDI: Mahakama ya rufaa yasikiliza rufani ya kiongozi wa Uamsho.
Mahakama ya Rufaa ya Tanzania imesikiliza Rufaa iliyofunguliwa na Wakili wa Kiongozi wa Jumuiya ya Taasisi ya Kiislam ya uamsho na Mihadhara Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed na wenzake dhidi ya uamuzi wa mahakama kuu kuwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ina uwezo wa kusikiliza kesi yao.
Wakati rufaa hiyo ikiwasilishwa Mahakama ya Rufaa, Upande wa Serikali ukaandika kusudio la kutaka kukata rufaa kupinga kusikilizwa kwa kesi hiyo kwamba shauri limewasilishwa kabla ya muda.
Kwa kuwa Kesi hiyo...
10 years ago
Habarileo20 Mar
Upelelezi wa kesi ya Uamsho bado
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi bado wanasota rumande kwa kwa kuwa upelelezi wa kesi bado haujakamilika.
10 years ago
Mwananchi19 Jun
Waandishi wazuiwa kuripoti kesi ya Uamsho
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Hakimu ajitoa kesi ya jumuiya ya Uamsho
10 years ago
Habarileo02 Oct
Mahakama yakataa ombi kufuta kesi ya Uamsho
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imetupilia mbali ombi la kufutwa kwa kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa Uamsho, Farid Ahmed na wenzake 21, kwa kuwa haina mamlaka ya kufanya hivyo.
10 years ago
Habarileo07 Apr
Hatima kesi ya Mtikila Aprili 30
HATIMA ya kesi iliyofunguliwa na Mchungaji Christopher Mtikila katika Mahakama ya Rufaa akipinga uuzwaji wa jengo la iliyokuwa Forodhani Hoteli itajulikana Aprili 30 mwaka huu ambako Msajili wa Mahakama hiyo atasoma uamuzi.