Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA yataka Pinda awatimue DC, DED Kiteto

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ametakiwa kuwachukulia hatua za kinidhamu viongozi wa Wilaya ya Kiteto akiwemo Mkuu wa Wilaya hiyo, Martha Umbulla na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Jane Mutagurwa na amshauri...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Pinda acharuka Kiteto

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ameagiza wakazi wa Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara wanaolima kwenye Hifadhi ya Jamii ya Emboley Murtangos waridhie amri ya Mahakama ya Rufaa ya kuwataka waondoke kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda aenda Kiteto leo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda leo anakwenda Wilaya ya Kiteto, Arusha kutafuta suluhu ya mapigano baina ya wakulima na wafugaji katika Hifadhi ya Embroi Murtangosi yaliyosababisha vifo vya watu 10.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda atoa suluhisho la mapigano Kiteto

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amewataka wakazi wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, wanaolima kwenye Hifadhi ya Jamii ya Emboley Murtangos, waridhie amri iliyotolewa na Mahakama ya Rufaa ya kuwataka waondoke kwenye eneo hilo wakati Serikali ikitafuta ufumbuzi wa suala la wapi watakwenda.

 

5 years ago

CHADEMA Blog

11 years ago

Mwananchi

CCM yataka amani, Chadema waibana polisi

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wapinzani wao katika kampeni za uchaguzi zinazoendelea katika Jimbo la Kalenga kufanya siasa za amani.

 

10 years ago

TheCitizen

We’ll bury many if Kiteto situation isn’t addressed penings in Kiteto?

It seems that the cries by the Deputy Speaker of the National Assembly, who is also Kongwa Member of Parliament, Mr Job Ndugai and several other law makers about the wanton killings in Kiteto have not been heard by the government. If the government has heard the cries, surely it would have moved to normalise the situation.

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yataka Rais atumbue majipu dosari za halmashauri

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtaka Rais John Magufuli atumbue majibu yaliyosababisha dosari kujitokeza kwenye chaguzi za viongozi wa halmashauri na manispaa nchini.     

 

11 years ago

IPPmedia

Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto


Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto
IPPmedia
Last week The Guardian on Sunday brought you a story on the recent land conflict pitting farmers and pastoralists at the Kalikala hamlet in Kiteto District. In this second installment Gerald Kitabu reveals how the unfolding feud led to the killings of more than 10 ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani