Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uwoya: Siogopi Maneno, Ila Mwacheni Mwanangu

Kufuatia kitendo cha baadhi ya mashabiki kuwashambulia mastaa kwenye kurasa zao mitandaoni kushamili, Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya ameibuka na kuweka angalizo hili kwa followers wake.

Mamboz! Nataka niulize swali hivi kunamtu nilimlazimisha kuni follow au ni kwa mapenz tuuu? sasa kwanini mtu anataka kuchukua jukumu la mzazi wangu kujifanya anajua sana maisha yangu wakati toka nizaliwe hajawahi kuninunulia ata pipiii!!!

Sasa ni hivi kusemwa mimi siogopi na matus pia siogopi kabisa coz...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Maneno ya Uwoya Akila ‘Kande’ Kwa Bibi ya Changamsha Genge!

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Irene Uwoya leo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM ameabandika picha akiwa anakula  MAKANDE na kuandika kuwa hicho ndio chakula anachokipenda kuliko vyote, kitu ambacho baadhi ya watu walipinga na kusema mrembo huyo ameFEKI kusema hivyo.

“Namshukuru MUNGU kwakunipa BIBI anae nipendaaa asante sanaaa bib yangu kipenz kwa chakula kitamu nachokipenda kuliko vyote”-Uwoya aliandika mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.

Mvutano kati ya wale amabo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Maneno ya Uwoya Akila ‘Kande’ Kwa Bibi ya Changamsha Gege!

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Irene Uwoya leo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM ameabandika picha akiwa anakula  MAKANDE na kuandika kuwa hicho ndio chakula anachokipenda kuliko vyote, kitu ambacho baadhi ya watu walipinga na kusema mrembo huyo ameFEKI kusema hivyo.

“Namshukuru MUNGU kwakunipa BIBI anae nipendaaa asante sanaaa bib yangu kipenz kwa chakula kitamu nachokipenda kuliko vyote”-Uwoya aliandika mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.

Mvutano kati ya wale amabo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Irene Uwoya Aumizwa na Maneno ya Wema, Ampongeza Wema kwa Moyo Wakishujaa

“Minashindwa kuwaelewa watu ni kwanini mnapenda sana kutaka kutoa kibanz kwenye jicho la mtu wakat kipande chamti kiko kwenye jicho lako.....nimeumia sana na maneno ya wema,mtoto anapanga MUNGU sio binadamu .....Embu mwachen mtoto wa watu sasa awenaaamani kila siku mnamsema yeye mmnazan anachuma nin Ana moyo,afu kunawatu wanapenda sana kudandia mambo ........mmedandia weweee mme mtukana mtoto wawatu minaomba niwape namba ya MUNGU mumulize yeye kwanin na mumuache mtoto wa watu!sipendag...

 

10 years ago

Mwananchi

Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.

Baada ya kuandika juu ya Asili na Chimbuko la Kiswahili katika Afrika Mashariki, nitaeleza kwa muhtasari matatizo yanayoikumba lugha hii hasa katika tahajia, matamshi, maana na matumizi yake. Kwa maneno mengine, lugha ya Kiswahili hivi sasa inawakanganya watumiaji wake hasa wanafunzi wa ndani na  nje ya Afrika Mashariki. Mkanganyiko huu unasababishwa na udhaifu uliopo katika taaluma ya lugha ya Kiswahili kama mofolojia, fonolojia, sintaksia na semantiki kwa waandishi na watangazaji wa...

 

10 years ago

Habarileo

'Maneno maneno' yamkera Waziri

WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amekerwa na kauli ya kuwa Bahi hawautaki mradi wa maji wa bwawa la Farkwa na kutaka maoni ya watu wachache yasiwe sababu za kukwamisha mradi huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ancelotti: Mwacheni, Khedira hauzwi

Kocha wa Real Madrid amesema kiungo wake aliye majeruhi, Sami Khedira hauzwi kwa gharama yoyote ile wakati wa dirisha dogo Januari mwakani.

 

9 years ago

Mtanzania

Belle 9: Siogopi wanasiasa

BelleNA CHRISTOPHER MSEKENA

MKALI wa RnB asiye na tuzo, Abelnego Damian ‘Belle 9’, ameweka wazi kwamba kujiamini ndiko kulikomfanya atoe video mpya ya wimbo wake wa ‘Shauri Zao’ licha ya pilika nyingi za kuelekea uchaguzi wa Oktoba 25.

Belle 9 alisema wengi walidhani ataogopa kuachia video hiyo mpya kwa hofu ya kukosa mashabiki kutokana na mchakato na mvutano mkubwa wa mashabiki wa muziki kuwa katika masuala ya siasa.

“Mimi siogopi wanasiasa, unajua watu wengi wanasahau kwamba kuna muda watu...

 

10 years ago

Raia Mwema

Mwacheni Lowassa, msimtie uchungu zaidi

MKIZI ni aina ya samaki mwenye hasira sana.

Mayage S. Mayage

 

10 years ago

GPL

MALICK: MWACHENI ROSE NDAUKA AJIRUSHE

Na Gladness Mallya BAADA ya msanii wa filamu Bongo, Rose Ndauka kuonekana akijiachia viwanja mbalimbali tofauti na alivyokuwa akiishi awali, mzazi mwenzake, Malick Bandawe, ameibuka na kumfungukia kuwa aachwe ajirushe. Malick Bandawe. Malick alifungua kinywa kufuatia madai kwamba alipokuwa akiishi na Rose alikuwa akimpa sheria kali na kumkataza kwenda ‘out’ ndiyo maana alikuwa hajiachii kama ilivyo sasa na hiyo ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani