Maneno ya Uwoya Akila ‘Kande’ Kwa Bibi ya Changamsha Gege!
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Irene Uwoya leo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM ameabandika picha akiwa anakula MAKANDE na kuandika kuwa hicho ndio chakula anachokipenda kuliko vyote, kitu ambacho baadhi ya watu walipinga na kusema mrembo huyo ameFEKI kusema hivyo.
“Namshukuru MUNGU kwakunipa BIBI anae nipendaaa asante sanaaa bib yangu kipenz kwa chakula kitamu nachokipenda kuliko vyote”-Uwoya aliandika mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
Mvutano kati ya wale amabo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies31 Mar
Maneno ya Uwoya Akila ‘Kande’ Kwa Bibi ya Changamsha Genge!
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Irene Uwoya leo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM ameabandika picha akiwa anakula MAKANDE na kuandika kuwa hicho ndio chakula anachokipenda kuliko vyote, kitu ambacho baadhi ya watu walipinga na kusema mrembo huyo ameFEKI kusema hivyo.
“Namshukuru MUNGU kwakunipa BIBI anae nipendaaa asante sanaaa bib yangu kipenz kwa chakula kitamu nachokipenda kuliko vyote”-Uwoya aliandika mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
Mvutano kati ya wale amabo...
10 years ago
Bongo Movies13 Apr
Irene Uwoya Aumizwa na Maneno ya Wema, Ampongeza Wema kwa Moyo Wakishujaa
“Minashindwa kuwaelewa watu ni kwanini mnapenda sana kutaka kutoa kibanz kwenye jicho la mtu wakat kipande chamti kiko kwenye jicho lako.....nimeumia sana na maneno ya wema,mtoto anapanga MUNGU sio binadamu .....Embu mwachen mtoto wa watu sasa awenaaamani kila siku mnamsema yeye mmnazan anachuma nin Ana moyo,afu kunawatu wanapenda sana kudandia mambo ........mmedandia weweee mme mtukana mtoto wawatu minaomba niwape namba ya MUNGU mumulize yeye kwanin na mumuache mtoto wa watu!sipendag...
10 years ago
Bongo Movies15 May
Uwoya: Siogopi Maneno, Ila Mwacheni Mwanangu
Kufuatia kitendo cha baadhi ya mashabiki kuwashambulia mastaa kwenye kurasa zao mitandaoni kushamili, Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya ameibuka na kuweka angalizo hili kwa followers wake.
Mamboz! Nataka niulize swali hivi kunamtu nilimlazimisha kuni follow au ni kwa mapenz tuuu? sasa kwanini mtu anataka kuchukua jukumu la mzazi wangu kujifanya anajua sana maisha yangu wakati toka nizaliwe hajawahi kuninunulia ata pipiii!!!
Sasa ni hivi kusemwa mimi siogopi na matus pia siogopi kabisa coz...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Maneno na Miundo ya maneno ya Kiswahili inayokanganya.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n1QlXetgYf0/Vjm3mD3zOAI/AAAAAAAAvgI/lSP9KTbCsSc/s72-c/12185162_10205098848207767_6221466235646217146_o.jpg)
10 years ago
Bongo Movies10 May
Ukistaajabu Ile Tattoo ‘Shishi baby’ kwa Mziwanda Jionee Hii ya ‘Irene Uwoya’ kwa Vjaymapenzi!
Katika hali ya kuonyesha hisia zake kwa staa wa bongo movies, Irene Uwoya kijana anayejiita Vjaymapenzi amejichora tattoo yenye jina la staa huyo mkononi na kufunguka haya mtandaoni.
“Itatokea kwa iman yenye uvumilivu wa wazi maana unaeza jizuia kwenda haja lakini sio kujizuia kumpenda mtu alitunukiwa ndani ya moyo wako na nafsi ikamkubali...ni rahisi sana kuwa tayara kwa lolote sababu chaguo la moyo ni chaguo la furaha na faraja ya maisha...kumpenda Irene Uwoya ni ugonjwa wangu na sijui...
10 years ago
Habarileo24 Sep
'Maneno maneno' yamkera Waziri
WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amekerwa na kauli ya kuwa Bahi hawautaki mradi wa maji wa bwawa la Farkwa na kutaka maoni ya watu wachache yasiwe sababu za kukwamisha mradi huo.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E4npa758JZU/VkWY8CxJmdI/AAAAAAAIFoU/FRraU3rCCiI/s72-c/MMGL0021.jpg)
10 years ago
Bongo Movies24 Apr
“Ninamkubali Uwoya kwa Sanaa Yake”
SOPHIA Mohamed mwigizaji wa kike kutoka Bongo Movie anafunguka kuwa anamkubali sana mwigizaji wa kike Irene Uwoya kwa uigizaji wake siyo kwa sababu anafananishwa naye katika muonekano na uigizaji wake, na anafurahia kufanishwa na msanii mwigizaji mahiri na mwenye uwezo.
“Namkubali sana Irene Uwoya siyo kwa sababu nafananishwa naye hapana bali namkubali sana Irene Uwoya kwa ajili ya uigizaji wake katika kuvaa uhalisia na ndio nafananishwa naye nikiigiza wengi wanaona kama Irene inatia...