Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHANGAMSHA BONGO: HILI DARAJA LIKO NI WAPI???

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Inashangaza, tatizo liko wapi?

Kwa mataifa mengine, sikukuu za mwisho wa mwaka huwa ni za kutafakari yaliyotendeka ndani ya mwaka mzima na kujipanga upya kwa unaofuata. Sina uhakika kama sisi Tanzania tunafanya hivyo.

 

10 years ago

GPL

KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA, TATIZO LIKO WAPI?

Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita nilipata barua pepe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina moja la Joanitha. Aliniandikia ujumbe mrefu sana juu ya kile kinachomsumbua kwenye maisha yake ya kimapenzi na akaniomba nimsaidie ili aweze kuwa na amani.Ujumbe wake huo ndiyo ulionisukuma kuandika makala haya kuelekea kwenye ile siku muhimu sana kwa wapendanao ya Valentine’s Day. Aliandika hivi:...

 

10 years ago

Vijimambo

Hakuna asiye na bahati ya kupendwa, Basi tatizo liko wapi


Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita nilipata barua pepe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina moja la Joanitha.Aliniandikia ujumbe mrefu sana juu ya kile kinachomsumbua kwenye maisha yake ya kimapenzi na akaniomba nimsaidie ili aweze kuwa na amani.Ujumbe wake huo ndiyo ulionisukuma kuandika makala haya kuelekea kwenye ile siku muhimu sana kwa wapendanao ya Valentine’s Day.Aliandika hivi: “Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25. Nimekaa kwa muda mrefu bila kuwa na...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

10 years ago

Bongo Movies

JB ajibu 'post' iliyowekwa na Zamaradi kuhusu filamu za kibongo - "Tatizo liko wapi" ?

Baada ya mwanadada mdau wa filamu nchini, Zamaradi mketema kufunguka yake juu ya filamu za bongo – bongomovies, hatimaye mwigizaji mkongwe nchini Jacob Steven - JB ameamua kuandika haya yafuatayo hapo chini kuelezea baadhi ya mambo anayohoji Zamaradi kama ifuatavyo.

 

“Kwako Zamaradi na wengine wote.

 

Kwanza napenda niwashukuru wote kwa jinsi mnavyotuwazia mema. Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza waigizaji wote wa Tz na waandaaji wa filamuU kwa kuthubutu kutengeneza filamu hizi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Alichokisema Zamaradi kuhusu bongo Movies. "Tatizo liko wapiii"?

 

Leo mwanadada Zamaradi mketema ameamua kusema haya kuhusu filamu zetu nchini. Kama wewe ni mdau wa bongo movies tafadhali tusaidie kutoa maoni yako juu ya maswali haya ambayo zamaradi anauliza…

Hichi ndicho alichosema…

“…Natamani sana siku moja atokee mtu kwenye hii sekta atutambulishe hata kama sio kimataifa basi africa tu... R.I.P KANUMBA alianza kuonesha mwangaza na juhudi binafsi zilionekana na kila mtu aliona huenda angefika mbali.. lakini baada ya hapo sioni tena!!!!

Mbona hapa...

 

10 years ago

GPL

HILI LA KATIBA, HIVI UBAYA WA MAASKOFU UKO WAPI?

Rais Jakaya Kikwete. WIKI moja iliyopita kumekuwa na mfululizo wa matukio yanayoendana na hali ya kisiasa ya taifa letu kwa sasa. Yote yamezaliwa kutokana na kauli iliyotolewa na Jumuia ya Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kuhusu Katiba Inayopendekezwa. Vyombo hivyo viwili vya dini ya Kikristo, baada ya kuelezea mapungufu yaliyokuwemo katika mchakato mzima wa kuipata Katiba Inayopendekezwa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani