Alichokisema Zamaradi kuhusu bongo Movies. "Tatizo liko wapiii"?
Leo mwanadada Zamaradi mketema ameamua kusema haya kuhusu filamu zetu nchini. Kama wewe ni mdau wa bongo movies tafadhali tusaidie kutoa maoni yako juu ya maswali haya ambayo zamaradi anauliza…
Hichi ndicho alichosema…
“…Natamani sana siku moja atokee mtu kwenye hii sekta atutambulishe hata kama sio kimataifa basi africa tu... R.I.P KANUMBA alianza kuonesha mwangaza na juhudi binafsi zilionekana na kila mtu aliona huenda angefika mbali.. lakini baada ya hapo sioni tena!!!!
Mbona hapa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
JB ajibu 'post' iliyowekwa na Zamaradi kuhusu filamu za kibongo - "Tatizo liko wapi" ?
Baada ya mwanadada mdau wa filamu nchini, Zamaradi mketema kufunguka yake juu ya filamu za bongo – bongomovies, hatimaye mwigizaji mkongwe nchini Jacob Steven - JB ameamua kuandika haya yafuatayo hapo chini kuelezea baadhi ya mambo anayohoji Zamaradi kama ifuatavyo.
“Kwako Zamaradi na wengine wote.
Kwanza napenda niwashukuru wote kwa jinsi mnavyotuwazia mema. Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza waigizaji wote wa Tz na waandaaji wa filamuU kwa kuthubutu kutengeneza filamu hizi...
10 years ago
Bongo Movies07 Dec
Alichokisema JB kuhusu soka la bongo. Asikitishwa na uchovu wa wachezaji.
Kupitia mtandao mmoja wa kijamii nchini, mwigizaji nguli Jacob Steven – JB ameamua kufunguka haya yake ya moyoni kuhusu mpira wa kibongobongo
“Wapenda kandanda kama mimi hembu tujadili kidogo nyinyi mnaonaje? hivi mbona mimi sielewi? ni kweli hata mimi nafurahia ujio wa wachezaji wa kigeni kwamba wataleta changamoto lakini hawa wa kwetu wamekumbwa na nini? mbona mchezaji anacheza msimu mmoja tu kwisha? leo hii angalia timu ya taifa ukiacha kina Samatta hatuna mshambuliaji, hamuoni wivu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLac405kV7-n-kdbWIUEWU-8Ey8LrGutOXn5cJBZKU6-H67PP7b*sXZXSzVSqkuLWsyS*WtoRhU50GgRVCb2O-RE6/MAMAWEMA.jpg)
KAMA NAMSOMA NAY WA MITEGO KUHUSU BONGO MOVIES!
10 years ago
Bongo520 Oct
Alichokisema Mwana FA baada ya kile alichokiona kwenye Fiesta Dar kuhusu wasanii wa Bongo
10 years ago
Bongo Movies20 Feb
Baadhi ya jumbe za Wasanii wa Bongo movies Kuhusu Mauaji ya Maalbino
Shamsa Ford:
“Yaani hata sijui nisemeje maana kila nikifikilia mwanadamu anayefanya ukatili huu wa kuwaua walemavu wa ngozi naumia sana.kikubwa naomba Mungu wote wanaohusika na huu unyama wakamatwe.. inshaallah Mwenyezi Mungu atasimamia kwa hili”.
Riyama Ally:
“Kiukweli siwezi kulala leo bila kusema haya nitakayosema.. hawa ni wenzetu na wanastahili tabasamu zaidi ya wanalolitoa wenyewe wanahitaji mapenzi yetu ya ziada.. lakini wapi binaadamu wenye uchu na tamaa za madaraka, pesa,...
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Aunt Ezekiel Atoboa Kuhusu Wasanii wa Bongo Movies Kujitengenezea ‘Skendo’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amesema baadhi ya wasanii wa bongo movies hawajitambui ndio maana kazi zao nyingi hazina mvuto badala yake nguvu nyingi wameelekeza kubuni skendo wakitarajia ndio zitawatoa kisanaa.
Alisema wasanii wengi wanatumia muda mwingi kutafakari jinsi ya kutengeneza skendo ili watume kwenye mitandao na kuandikwa kwenye magazeti lakini hawana ubunifu wa kutengeneza filamu zenye ushawishi kwenye jamii.
Aunt ambae kwenye filamu ya Chozi la...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Inashangaza, tatizo liko wapi?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVI768TIb6Y8bh7fl3KWhcUBQlOujnZHvh-teEMPlUJj*GaDAeoo4J9NVkm-yVXFQdc-vIplJ5OkHeP9c3MDS-qn/Love.jpg)
KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA, TATIZO LIKO WAPI?
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9HiwYjh1Yiw/VNw_Jo4gVtI/AAAAAAAAGSY/htBJS5aFDME/s72-c/hot%2Bblack%2Bcouple.jpg)
Hakuna asiye na bahati ya kupendwa, Basi tatizo liko wapi
![](http://4.bp.blogspot.com/-9HiwYjh1Yiw/VNw_Jo4gVtI/AAAAAAAAGSY/htBJS5aFDME/s640/hot%2Bblack%2Bcouple.jpg)
Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita nilipata barua pepe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina moja la Joanitha.Aliniandikia ujumbe mrefu sana juu ya kile kinachomsumbua kwenye maisha yake ya kimapenzi na akaniomba nimsaidie ili aweze kuwa na amani.Ujumbe wake huo ndiyo ulionisukuma kuandika makala haya kuelekea kwenye ile siku muhimu sana kwa wapendanao ya Valentine’s Day.Aliandika hivi: “Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25. Nimekaa kwa muda mrefu bila kuwa na...