Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwacheni Lowassa, msimtie uchungu zaidi

MKIZI ni aina ya samaki mwenye hasira sana.

Mayage S. Mayage

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA KUWANIA URAIS KUPITIA CHADEMA, ADHAMINIWA NA ZAIDI YA WANANZANIA ZAIDI YA MIL. 1.6

 Mtangaza nia ya kuwania nafasi ya Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akiwapungia maelfu ya wafuasi na wapenzi wa Chama hicho, wakati alipowasili kwenye Ofisi ya Makao Makuu ya Chama hicho, Kinondoni Jijini Dar es Salaam jioni ya leo. Mh. Lowassa alifika ofisini hapo kurudisha fomu za kuomba ridhaa ya Chama hicho, kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.Kulia kwake ni Mbunge wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ancelotti: Mwacheni, Khedira hauzwi

Kocha wa Real Madrid amesema kiungo wake aliye majeruhi, Sami Khedira hauzwi kwa gharama yoyote ile wakati wa dirisha dogo Januari mwakani.

 

11 years ago

GPL

WEMA: MWACHENI DIAMOND ANIONEE WIVU

Stori: Imelda Mtema STAA asiyekaukiwa habari Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa ‘anainjoi’ kuona mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ anamuonea wivu kwani anaamini ndiyo penzi la dhati. Wema Sepetu ‘Madam’. Akifafanua hilo mbele ya kinasa sauti chetu, Wema alisema wivu kwake ni kipimo kikubwa cha kutambua Diamond anamzimikia kiasi gani. “Baby (Diamond)...

 

10 years ago

GPL

MALICK: MWACHENI ROSE NDAUKA AJIRUSHE

Na Gladness Mallya BAADA ya msanii wa filamu Bongo, Rose Ndauka kuonekana akijiachia viwanja mbalimbali tofauti na alivyokuwa akiishi awali, mzazi mwenzake, Malick Bandawe, ameibuka na kumfungukia kuwa aachwe ajirushe. Malick Bandawe. Malick alifungua kinywa kufuatia madai kwamba alipokuwa akiishi na Rose alikuwa akimpa sheria kali na kumkataza kwenda ‘out’ ndiyo maana alikuwa hajiachii kama ilivyo sasa na hiyo ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwoya: Siogopi Maneno, Ila Mwacheni Mwanangu

Kufuatia kitendo cha baadhi ya mashabiki kuwashambulia mastaa kwenye kurasa zao mitandaoni kushamili, Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya ameibuka na kuweka angalizo hili kwa followers wake.

Mamboz! Nataka niulize swali hivi kunamtu nilimlazimisha kuni follow au ni kwa mapenz tuuu? sasa kwanini mtu anataka kuchukua jukumu la mzazi wangu kujifanya anajua sana maisha yangu wakati toka nizaliwe hajawahi kuninunulia ata pipiii!!!

Sasa ni hivi kusemwa mimi siogopi na matus pia siogopi kabisa coz...

 

9 years ago

Bongo5

Sikuwahi kuagiza mtu asameweke kodi, msinilamu, mwacheni Magufuli awanyooshe – Kikwete

London, 11th July 2012. London Summit on Family Planning

Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amelazimia kutumia mtandao wa Twitter kujibu tuhuma zinazosambaa kuwa katika uongozi wake aliagiza kusamehewa kodi kwa baadhi ya wafanyabiashara.

London, 11th July 2012. London Summit on Family Planning

London, 11th July 2012. London Summit on Family Planning

Hiki ndicho alichoakiandika:

Wako watu katika vyombo vya habari na mitandao wanajaribu kunihusisha na ukwepaji wa kodi. Nataka kuwaambia, wanapoteza wakati wao bure.

Tumeongeza ukusanyaji wa mapato kutoka shilingi bilioni 177 mpaka shilingi bilioni 900...

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA APATA WADHAMINI ZAIDI YA ELFU SABA MKOANI SHINYANGA

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akisalimiana na mtoto mwenye ualbino, Kabula Zacharia, anayetunzwa kwenye kituo cha kulea watu wenye mahitaji maalum cha Buhangija mkoani Shinyanga, mara baada ya kupata wana CCM wa kumdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba chama kimteue kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa ambaye yuko kanda ya ziwa kutafuta wadhamini, alivunja rekodi ya kupata wadhamini 7,114,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa achangisha zaidi ya Sh. Mil 200 ujenzi wa msikiti wa Patandi Arusha

unnamed (1)

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha, Edward Lowasa akiwapungia mikono wafuasi wake waliofika katika uwanja wa msikiti mkuu katika hafla ya harambee ya ujenzi wa msikiti wa Patandi ambapo jumla ya kiasi cha zaidi ya sh,200 milioni zilipatikana katika harambee hiyo(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).

unnamed

Umati mkubwa wa wananchi wa Arusha wakiwa wanampungia mkono Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha ,Edward Lowasa akiwapungia mikono...

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA ACHANGISHA ZAIDI YA SH MIL 200 UJENZI WA MSIKITI PATANDI JIJINI ARUSHA

SAM_2715Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha,Edward Lowasa akiwapungia mikono wafuasi wake waliofika katika uwanja wa msikiti mkuu katika hafla ya harambee ya ujenzi wa msikiti wa Patandi ambapo jumla ya kiasi cha zaidi ya sh,200 milioni zilipatikana katika harambee hiyo.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)SAM_2723Umati mkubwa wa wananchi wa Arusha wakiwa wanampungia mkono Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha,Edward Lowasa akiwapungia mikono...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani