Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LOWASSA ACHANGISHA ZAIDI YA SH MIL 200 UJENZI WA MSIKITI PATANDI JIJINI ARUSHA

SAM_2715Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha,Edward Lowasa akiwapungia mikono wafuasi wake waliofika katika uwanja wa msikiti mkuu katika hafla ya harambee ya ujenzi wa msikiti wa Patandi ambapo jumla ya kiasi cha zaidi ya sh,200 milioni zilipatikana katika harambee hiyo.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)SAM_2723Umati mkubwa wa wananchi wa Arusha wakiwa wanampungia mkono Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha,Edward Lowasa akiwapungia mikono...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa achangisha zaidi ya Sh. Mil 200 ujenzi wa msikiti wa Patandi Arusha

unnamed (1)

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha, Edward Lowasa akiwapungia mikono wafuasi wake waliofika katika uwanja wa msikiti mkuu katika hafla ya harambee ya ujenzi wa msikiti wa Patandi ambapo jumla ya kiasi cha zaidi ya sh,200 milioni zilipatikana katika harambee hiyo(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).

unnamed

Umati mkubwa wa wananchi wa Arusha wakiwa wanampungia mkono Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha ,Edward Lowasa akiwapungia mikono...

 

10 years ago

GPL

MHE LOWASSA AWASILI JIJINI ARUSHA KUONGOZA HARAMBEE YA UJENZI WA MSIKITI WA PATANDI

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasili jijini Arusha kuongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa msikiti wa Patandi. Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akilakiwa na baadhi ya viongozi wa dini ya Kiislamu jijini Arusha alipowasili kwa ajili ya kuongoza harambee ya…

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASSA KUMUWAKILISHA MAKAMU WA RAIS DKT MOHAMMED GHARIB BILAL KWENYE HARAMBEE YA UCHAGIAJI UJENZI WA MSIKITI WA PATANDI, JIJINI ARUSHA

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli-CCM Edward Lowassa--JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA MAKAMU WA RAISOfisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapenda kuutaarifu umma kuwa shughuli ya Harambee ya kuchangia ujenzi wa Msikiti wa Patandi uliopo wilaya ya Arumeru jijini Arusha ambao umepangwa kufanyika Ijumaa ya tarehe 15, 2015 na ambayo awali ilitangazwa kuwa mgeni Rasmi katika Harambee hiyo angekuwa Mheshimiwa Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mke wa Waziri Mkuu achangisha Milioni 128 kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa jijini Dar

Mke wa Waziri Mkuu,MamaTunu Pinda akipokea kiasi cha dola elfu moja kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko utafiti na huduma kwa wateja wa Benki ya CRDB,Tully Esther Mwampamba kama mchango wake wa kuendeleza ujenzi wa Kanisa la kiinjili Moroviani Tanzania (KKMT) Mburahati jijini Dar es salaam.kulia ni Askofu David Martin Mwalyambile wa kanisa hilo Mama Pinda alikuwa mgeni rasimi katika kuendesha harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa hilo ambapo kuliweza kupatikana kiasi cha shilingi milioni mia...

 

10 years ago

StarTV

Uvuvi haramu, Nyavu za zaidi ya sh. mil. 200 zakamatwa.

Na Mariam Emily,

Bukoba.

 

 

Idara za uvuvi za mikoa ya Kagera na Geita zimekamata zana haramu za uvuvi zenye thamani zaidi ya shilingi milioni mia mbili katika doria ya wiki mbili iliyofanyika kwenye visiwa na fukwe za mikoa hiyo inayopakana na ziwa Victoria.

 

Hata hivyo maafisa wa uvuvi wa mikoa hiyo wameshauri kuwepo na sheria kali inayolenga kuwaadhibu watu wanaoendelea kutumia zana zisizoruhusiwa ili kutokomeza uvuvi haramu.

 

Baadhi ya makokoro kati ya makokoro sabini na saba...

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA KUWANIA URAIS KUPITIA CHADEMA, ADHAMINIWA NA ZAIDI YA WANANZANIA ZAIDI YA MIL. 1.6

 Mtangaza nia ya kuwania nafasi ya Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akiwapungia maelfu ya wafuasi na wapenzi wa Chama hicho, wakati alipowasili kwenye Ofisi ya Makao Makuu ya Chama hicho, Kinondoni Jijini Dar es Salaam jioni ya leo. Mh. Lowassa alifika ofisini hapo kurudisha fomu za kuomba ridhaa ya Chama hicho, kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.Kulia kwake ni Mbunge wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Lowassa atoa pole msikiti wa Mtambani Kinondoni jijini Dar leo

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akipatiwa maelezo na Imam wa Msikiti wa Mtambani,Sheikh Suleiman (mwenye kanzu nyeupe) ya namna moto ulivyoteketeza sehemu ya jengo la shule ya Seminari ya Kiislam ya Mivumoni katika Msikiti wa Mtambani Kinondoni jijini Dar es salaam,wakati alipotembele kuijionea hali hiyo.Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akitoka kuangalia uharibifu uliotokea kwa kusababishwa na moto uliotokea hivi...

 

5 years ago

Michuzi

PINDA AFANIKISHA KUPATIKANA ZAIDI YA MIL. 40 UJENZI WA OFISI YA BAKWATA SINGIDA

 Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wa dini ya Kiislamu kwenye harambee hiyo. Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wa dini ya Kiislamu kwenye harambee hiyo.Tukio la harambee likiendelea.

Na Godwin Myovela, Singida.

WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda, jana aliongoza waislamu katika harambee ya kuchangia ujenzi wa ofisi ya Baraza la Kuu la Waislamu nchini (BAKWATA) inayotarajiwa kujengwa eneo la Ilongero, Wilaya ya Singida...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL FURSA YAWEZESHA VIJANA ZAIDI YA 200 ARUSHA MBINU ZA KUENDESHA BIASHARA ZAO

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania, Beatrice Singano Mallya akizungumza wakati wa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, yaliyofanyika jijini Arusha jana. Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Arusha, Blandina Nkini akifungua mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’, yaliyofanyika jijini Arusha jana.…
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani