PINDA AFANIKISHA KUPATIKANA ZAIDI YA MIL. 40 UJENZI WA OFISI YA BAKWATA SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DopVEQSQ5aw/Xl-bdfdbRDI/AAAAAAAAkUo/Kgunq2nNj4wSUt4cr-Jso4C9xmnwgH1NgCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wa dini ya Kiislamu kwenye harambee hiyo.
Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (katikati) akiwa na baadhi ya viongozi wa dini ya Kiislamu kwenye harambee hiyo.
Tukio la harambee likiendelea.
Na Godwin Myovela, Singida.
WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda, jana aliongoza waislamu katika harambee ya kuchangia ujenzi wa ofisi ya Baraza la Kuu la Waislamu nchini (BAKWATA) inayotarajiwa kujengwa eneo la Ilongero, Wilaya ya Singida...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Mar
Bakwata yapongezwa kwa ujenzi wa ofisi zake
BARAZA la Habari la Kiislamu Tanzania (BAHAKITA) limepongeza uendelezwaji wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania(Bakwata) Makao Makuu.
10 years ago
Dewji Blog17 May
Lowassa achangisha zaidi ya Sh. Mil 200 ujenzi wa msikiti wa Patandi Arusha
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha, Edward Lowasa akiwapungia mikono wafuasi wake waliofika katika uwanja wa msikiti mkuu katika hafla ya harambee ya ujenzi wa msikiti wa Patandi ambapo jumla ya kiasi cha zaidi ya sh,200 milioni zilipatikana katika harambee hiyo(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Umati mkubwa wa wananchi wa Arusha wakiwa wanampungia mkono Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha ,Edward Lowasa akiwapungia mikono...
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Zaidi ya Mil 60 zilizotengwa kwa sherehe za miaka 50 ya Mkoa wa Singida kutumia kununulia vifaa tiba
![IMG_1426](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1426.jpg)
![IMG_1439](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1439.jpg)
10 years ago
Michuzi16 May
LOWASSA ACHANGISHA ZAIDI YA SH MIL 200 UJENZI WA MSIKITI PATANDI JIJINI ARUSHA
![SAM_2715](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/O-IDZCHGg1JxMwDtQUG6TJtcoqo2YP5UvTaut_QhtOs6DFTIJNv0NkHlZj06F9Xffk5f0d5IwQ7T5t4TKlJTk7FPPpDWdkWscwvgtg90qVVxsUk=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2715.jpg)
![SAM_2723](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/XrhIcJPFTH0bNPguSr6AQDwNF1p6lt3nAk-3cb0jl30elAUXRE8ay3_t0aExMiwhkLHGnhH2DqxHcjqejzuv3v1omhfLrKfppQy0WjbqBBNd0h0=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2723.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 May
Halmashauri ya Manispaa Singida yapewa msaada wa zaidi ya Mil 250 kwa ajili ya malori ya taka ngumu
Kijiko mali ya manispaa ya Singida kilichonunuliwa kwa shilingi 110 milioni,kikipakia taka ngumu kutoka kwenye dampo la soko la vitunguu mjini hapa jana.Picha na Nathaniel Limu
Na Nathaniel Limu
Serikali kuu imeipatia msaada halmashauri ya manispaa ya Singida, kijiko na malori mawili makubwa vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 250 milioni,kwa ajili ya uzoaji wa taka ngumu.
Hayo yamesemwa juzi na mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, wakati akizingumza na waandishi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ie43xXmRuEg/VQNooKKajGI/AAAAAAAHKK4/_WRB3bfSHFI/s72-c/mm1.jpg)
JK AFANIKISHA HARAMBEE YA KUCHANGIA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI, 1.6bn/- zapatikana usiku huu diamond jubilee hall dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ie43xXmRuEg/VQNooKKajGI/AAAAAAAHKK4/_WRB3bfSHFI/s1600/mm1.jpg)
5 years ago
MichuziBAKWATA SINGIDA YAWAOMBA WAISLAMU KUOMBEA DUA UGONJWA WA KORONA
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
BAKWATA Mkoani Singida wapongeza utendaji wa Rais Dk. Magufuli aliyoanza nayo!
Katibu BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake jana.Picha na Nathaniel Limu.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA]
Aina ya kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo rais Dk.John Pombe Magufuli,imeendelea kuwakuna Watanzania wengi kila kona ya nchi,wakiwemo viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini.
Katibu wa BAKWATA mkoa wa Singida,Alhaj Burhan Mlau,amesema kutokana na utendaji ulioonyeshwa na Dk.Magufuli kwa muda mfupi,ana imani kubwa kwamba utendaji huo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KN8gCDLADkw/XlkXUMO72VI/AAAAAAACzqA/-xD6PEaZE4QvTSSQ7sgLb7-kEz6YNu5dQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA UJENZI WA MSIKITI WA BAKWATA KINONDONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KN8gCDLADkw/XlkXUMO72VI/AAAAAAACzqA/-xD6PEaZE4QvTSSQ7sgLb7-kEz6YNu5dQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-p2pzLNwmn3c/XlkY_yLhF4I/AAAAAAACzqg/W7IsN49sd6oeo2fXvKSopTiA4GfUoq17gCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-c1NZjzcywrU/XlkXVfIq8AI/AAAAAAACzqE/ITG2Zi4TYOkpgyYoOIR_kKM1Musw9h6-wCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UsJGEtMUrNY/XlkXX1Zef8I/AAAAAAACzqI/Hx9Rv2vs_wYBy_OrhsVsRzBHHij0mTInwCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tL72q8FJa_A/XlkbN4nTfJI/AAAAAAACzqs/z-Tz6w_BmAAD5OZ0pZNqNjua-wTw0HU2ACLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)