Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sikuwahi kuagiza mtu asameweke kodi, msinilamu, mwacheni Magufuli awanyooshe – Kikwete

London, 11th July 2012. London Summit on Family Planning

Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amelazimia kutumia mtandao wa Twitter kujibu tuhuma zinazosambaa kuwa katika uongozi wake aliagiza kusamehewa kodi kwa baadhi ya wafanyabiashara.

London, 11th July 2012. London Summit on Family Planning

London, 11th July 2012. London Summit on Family Planning

Hiki ndicho alichoakiandika:

Wako watu katika vyombo vya habari na mitandao wanajaribu kunihusisha na ukwepaji wa kodi. Nataka kuwaambia, wanapoteza wakati wao bure.

Tumeongeza ukusanyaji wa mapato kutoka shilingi bilioni 177 mpaka shilingi bilioni 900...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI AMUAPISHA DK. MWIGULU, ASISITIZA WANANCHI KUACHA HOFU DHIDI YA CORONA, KUAGIZA DAWA YA TIBA MADAGASCAR

Ikuku, Chato
Rais  Dk. John Magufuli leo 03 Mei 3, 2020 amemuapisha Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Chato Mkoani Geita.

Rais Magufuli amemtaka Nchemba kuendeleza kazi nzuri iliyofanywa na mtangulizi wake Marehemu Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga aliyefariki dunia tarehe 01 Mei, 2020 na pia kushirikiana na viongozi wenzake katika kutekeleza majukumu mbalimbali ya Serikali.

“Nimekuteua kwa mara ya pili kwa sababu naamini unaweza kutekeleza jukumu hili vizuri, na...

 

5 years ago

Michuzi

SITASHANGAA MTU AKIJIITA MAGUFULI AU HATA AKIJIITA FISI NI YEYE MWENYEWE- DK.MAGUFULI

Asisitiza watu kukataa kupokea barakoa wasizojua zinatoka wapi...
 Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli ameendelea kusisitiza kuwa Watanzania wasikubali kupewa msaada wa barakoa na kisha kuzivaa bila kujua zilikotoka kwani hiyo huenda ikawa njia nyingine ya kuingiza Corona nchini.
Amefafanua licha ya kutoa maelekezo na maagizo kwa Wizara ya Afya na kwa viongozi wa mikoa na wilaya ameshudia watu wakipewa barakoa na juzi kwenye taarifa ya habari ameona kuna grupu linajiita...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Nitaondoa misamaha ya kodi

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amemaliza kampeni zake mkoani hapa, akiahidi kuwakaba koo wawekezaji wakubwa wanaonufaika na misamaha ya kodi isiyokuwa na tija kwa nchi.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli awashukia walipa kodi nchini

RAIS John Magufuli ametangaza kiama kwa wafanyabiashara wote wenye tabia ya kukwepa kulipa kodi na kusisitiza kuwa kamwe Serikali yake ya Awamu ya Tano, haitovumilia kitendo hicho. Kutokana na hayo, Dk Magufuli ametoa siku saba kwa wafanyabiashara wote nchini waliokwepa kodi wakiwemo wale wa makontena takribani 349 yaliyopitishwa bandarini bila kulipa kodi, waende wakalipe kodi hiyo mara moja, vinginevyo sheria itafuata mkondo wake.

Aidha, amewatoa hofu wafanyabiashara wa sekta binafsi...

 

9 years ago

Mwananchi

Kikwete: Sihusiki na ukwepaji kodi

Rais mstaafu, Jakaya Kikwete ameeleza kushangazwa kwake na watu wanaomtuhumu kupitia  vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuwa anahusika na ukwepaji kodi ya makontena alipokuwa madarakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli: Sitaogopa mtu yeyote

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema akichaguliwa kuwa rais, hatamwogopa mtu wala hataacha mtu aonewe, hasa wanyonge.

 

10 years ago

Mwananchi

Ancelotti: Mwacheni, Khedira hauzwi

Kocha wa Real Madrid amesema kiungo wake aliye majeruhi, Sami Khedira hauzwi kwa gharama yoyote ile wakati wa dirisha dogo Januari mwakani.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi

Rais wa Tanzania Dk Jakaya Kikwete, leo amemnadi mgombe wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk John Pombe Magufuli, kwa kumuelezea kuwa ni mtu makini, msafi na asiyeshindwa

The post Video:JK: Magufuli ni mtu makini na msafi appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Bongo5

Breaking: Magufuli awapa siku 7 wafanyabiashara wakwepa kodi kujisalimisha

jpm2

Mkutano wa leo kati ya Rais Dkt John Magufuli na wafanyabiashara nchini kwenye ikulu ya Dar es Salaam haukuwa wa kunywa chai na cocktail bali wenye maelekezo muhimu na mazito.

jpm2
Dkt John Magufuli akiongea na wafanyabiashara kwenye mkutano uliofanyika Alhamis hii ikulu jijini Dar es Salaam (Picha: Michuzi)

Katika mkutano huo, Magufuli ametoa siku saba, kuanzia leo kwa wafanyabiashara wote walioingiza bidhaa nchini bila kulipa ushuru wakajisalimishe na kulipa.

Mkutano huo umehudhuriwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani