SITASHANGAA MTU AKIJIITA MAGUFULI AU HATA AKIJIITA FISI NI YEYE MWENYEWE- DK.MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-hQByaJoUjY8/Xto6ggttu_I/AAAAAAALssY/lVk9keCegEgwbggbYTlD7qqQP597cqT8QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Asisitiza watu kukataa kupokea barakoa wasizojua zinatoka wapi...
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli ameendelea kusisitiza kuwa Watanzania wasikubali kupewa msaada wa barakoa na kisha kuzivaa bila kujua zilikotoka kwani hiyo huenda ikawa njia nyingine ya kuingiza Corona nchini.
Amefafanua licha ya kutoa maelekezo na maagizo kwa Wizara ya Afya na kwa viongozi wa mikoa na wilaya ameshudia watu wakipewa barakoa na juzi kwenye taarifa ya habari ameona kuna grupu linajiita...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Magufuli na mfupa uliomshinda fisi
9 years ago
Mtanzania23 Oct
Magufuli asema yeye ndiye mshindi
NA BAKARI KIMWANGA, CHALINZE
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema anajua yeye ndiye rais wa awamu ya tano na Watanzania wameshamhakikishia watamchagua keshokutwa wakati wa kupiga kura.
Kwa mujibu wa Dk. Magufuli, anajua Watanzania wamechoshwa na ahadi za uongo, na kwamba sasa wanahitaji ahadi za vitendo.
Dk. Magufuli aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika Chalinze, Mkoa wa Pwani.
“Watu wamechoshwa na ahadi za uongo na wanahitaji...
9 years ago
Mwananchi29 Nov
HONDOHONDO : Magufuli anajijenga yeye, ataumbua wengi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCjnMxJnG4lC5x4TnIuxCa4hqxoO1qfnsswuqkSwzsbGniF6qPoIq-Tp9vIixrxUEpnReRRh1mtDQM*xCiMyFj5S/fisimtu.jpg?width=650)
‘FISI MTU AMENIHARIBIA MAISHA’
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Jue2RfsEQyg/XujAvaTDi9I/AAAAAAAAV2s/2QMoeDWNeE48MLk2nGmmN_P9NhvBidSrgCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
RAIS MAGUFULI: MUOMBEENI MAMA YANGU HAWEZI HATA KUJIGEUZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jue2RfsEQyg/XujAvaTDi9I/AAAAAAAAV2s/2QMoeDWNeE48MLk2nGmmN_P9NhvBidSrgCLcBGAsYHQ/s400/images.jpg)
Kauli hiyo ameitoa leo Juni 16, 2020, wakati wa hotuba yake ya kuvunja rasmi Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jijini Dodoma.
"Ninawaomba muendelee kumuombea mama yangu ambaye amekaa na Kiharusi hawezi akazungumza, hawezi akajigeuza, hawezi akala, anakula kwa kutumia mpira...
9 years ago
VijimamboDK.MAGUFULI ASEMA WAPINZANI WANUNE, WACHEKE YEYE NDIYE RAIS 2015, AMFAGILIA NAPE MTAMA
Akihutubia mjini Mtama, amesema kuwa Wapinzani Wanune, Wacheke yeye ndiye Rais 2015 na atahakikisha anafanya kazi kwa kuwaletea mafanikio watanzania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m_4yaANm3NQ/XvhSbnpNLEI/AAAAAAALvxQ/L2mARfGUE34Yut2ulyBDVmmB4ZdzDXL6ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B11.13.23%2BAM.jpeg)
ALICHOKISEMA WAZIRI JAFO KWA RAIS DK.MAGUFULI KUHUSU KISARAWE, ASEMA YEYE NI FUNDI SELEMALA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemeani Jafo amemshukuru Rais Dk.John Magufuli kwa kumuamini na kumteua kwenye nafasi hiyo ya uwaziri licha yeye ni fundi selemala huku akimhakikishia kuendelea kufanya kazi kwa juhudi zake.
Jafo amesema hayo leo Juni 27,2020 wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji wilayani Kisarawe ambapo Rais Magufuli ameuzindua rasmi na hivyo kutatua changamoto ya tatizo la maji ambalo limewakabili kwa...
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Prof Lipumba ameisaidia Cuf na yeye mwenyewe kwa kujiuzulu
ILIKUWA ni mwanzo mpya mzuri kwa Chama cha Wananchi (CUF) kufanya siasa za ushirikiano katika Umo
Mwandishi Wetu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z5cprvMqfw4/Vaul3p01mgI/AAAAAAAB-6w/_XOM3U0gLGA/s72-c/DSC_0050.jpg)
FILIKUNJOMBE APELEKEWA FOMU YA UBUNGE NYUMBANI KWAKE , MWENYEWE AMPONGEZA JK ASEMA DR MAGUFULI ATEGEMEE KURA ZA KISHINDO LUDEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-z5cprvMqfw4/Vaul3p01mgI/AAAAAAAB-6w/_XOM3U0gLGA/s640/DSC_0050.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sJaYI_pWeJo/Vaul76fG3rI/AAAAAAAB-64/X8JxAq2i570/s640/DSC_0053.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w68zdxxLVGw/Vaul9BnPH1I/AAAAAAAB-7A/c3vO8J0puQ0/s640/DSC_0062%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GUHOBPHcxIQ/VaumKB7c4GI/AAAAAAAB-7Q/vFjt0qOeesI/s640/DSC_0074.jpg)