Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli na mfupa uliomshinda fisi

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amekuja na ahadi ya kuanzisha mahakama maalumu ya kusikiliza kesi za rushwa na ufisadi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mangula kuutafuna mfupa uliomshinda 2005?

Phillip Mangula alipoteuliwa kuwa makamu mwenyekiti wa CCM (Bara), niliandika uchambuzi nikirejea miujiza katika Biblia nikistaajabu miujiza ya kurejeshwa ulingo wa siasa baada ya kupotea.

 

5 years ago

Michuzi

SITASHANGAA MTU AKIJIITA MAGUFULI AU HATA AKIJIITA FISI NI YEYE MWENYEWE- DK.MAGUFULI

Asisitiza watu kukataa kupokea barakoa wasizojua zinatoka wapi...
 Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli ameendelea kusisitiza kuwa Watanzania wasikubali kupewa msaada wa barakoa na kisha kuzivaa bila kujua zilikotoka kwani hiyo huenda ikawa njia nyingine ya kuingiza Corona nchini.
Amefafanua licha ya kutoa maelekezo na maagizo kwa Wizara ya Afya na kwa viongozi wa mikoa na wilaya ameshudia watu wakipewa barakoa na juzi kwenye taarifa ya habari ameona kuna grupu linajiita...

 

11 years ago

Michuzi

MZIGO MZITO ULIOMSHINDA KOFI ANNAN WAMSHINDA BRAHIMI

Na Mwandishi Maalum   Ban Ki Moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, kwa masikitiko makubwa ametangaza kukubali kwake kujiuzuru kwa mwakilishi maalum wa Umoja wa mataifa  na Muungano wa nchi za Kiarabu, Lakhdar Brahimi aliyekuwa akisimamia mazungumzo ya kutafuta Amani nchini Syria. Akitangaza mbele ya waandishi wa habari kuhusu kujiuzulu kwa Bw. Brahimi ambaye pia alikuwapo kwenye mkutano huo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema mwanadiplomasia huyo mzoefu ataachia wadhifa wake...

 

10 years ago

GPL

FISI HAACHIWI BUCHA

He he he heeee, acha nicheke miye mwana Kibatari mjukuu ya Kandili, unajua vitu vingine vinachekesha kama si kusikitisha, unalalamika mwanamke mzima uliyekamilika tena bila aibu eti mfanyakazi wako wa ndani anakulia mali zako kwa mumeo kuhamishia mapenzi kwake! Unajua kauli hiyo hunifanya nikumbuke ile kauli isemayo mpambe awe mwenye mali na mwenye mali aonekane mpambe. Ooh, nilikuja na kasi ya ajabu na miye bila salamu kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msako wa fisi Geita waanza

IDARA ya Maliasili na Utalii Wilaya za nyang’hwale na Geita kupitia kitengo cha wanyamapori imeanza msako mkali wa kuwaua Fisi ambao siku za hivi karibuni wamegeuka tishio kwa binadamu hususani...

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto waliwa na fisi, wafa

Bahi. Watoto wawili wenye umri wa kati ya miaka miwili na mitano wameuawa na fisi katika Kijiji cha Mnkola, Kata ya Ibihwa wilayani Bahi Mkoa wa Dodoma katika matukio mawili tofauti.

 

11 years ago

Mwananchi

Fisi wasitisha mradi wa nguruwe

Mradi wa kufuga nguruwe uliokuwa ukitekelezwa na Kikundi cha Twaweza, Kata ya Mwendakulima, wilayani Kahama umefungwa baada ya fisi kuvamia zizi na kuwatafuna wote.

 

10 years ago

Mwananchi

Ray C wa kiuno bila mfupa abadilika

Mwanamuziki wa siku nyingi, Ray C ametangaza kuwa atatoka mwezi huu, lakini akiwajulisha mashabiki wake kuwa safari hii ataweka nguvu zaidi kwenye uimbaji badala ya unenguaji, ambao ulimpa umaarufu.

 

9 years ago

Habarileo

Wakazi Bariadi wahofu kushambuliwa na fisi

WAKAZI wengi wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, wameingiwa na hofu baada ya kuwepo kwa matukio mfululizo ya watu kushambuliwa na fisi hadi kufa katika maeneo mbalimbali mjini hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani