FISI HAACHIWI BUCHA
![](http://api.ning.com:80/files/jIM5ZSWhuBb8jB*WaqzBpMwJ2gxTLCjfRO2mf7dTJIK0TlFtkmYOt-EHK28qcIpKa29vqR0aYmjTHAqoOKO0gnkikq039JQs/HelenFlanaganCuteWallpaper.jpg?width=650)
He he he heeee, acha nicheke miye mwana Kibatari mjukuu ya Kandili, unajua vitu vingine vinachekesha kama si kusikitisha, unalalamika mwanamke mzima uliyekamilika tena bila aibu eti mfanyakazi wako wa ndani anakulia mali zako kwa mumeo kuhamishia mapenzi kwake! Unajua kauli hiyo hunifanya nikumbuke ile kauli isemayo mpambe awe mwenye mali na mwenye mali aonekane mpambe. Ooh, nilikuja na kasi ya ajabu na miye bila salamu kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2ppKWr4SkD9KD0MEcpAAZ9gvIrX9f3ee9iGCpeObIJfLFsylXvHLeRlE-Zin*KV7jpI1*NOtxIW4oMhTlaa2WPaG/mwizi.jpg?width=650)
ABAMBWA AKIIBA KANISANI, AGEUZWA BUCHA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe47t87MaiIGg1mpHpR2NVEAbVO39MPPpKk0-QDlnRTsnVw8Cn-vDz2iEWm4Z4*O2FL0IYYh5l-dKy5ltpQ*FUS2/mpekezs.jpg)
MWANA KUMILIKI BUCHA SI KULA NYAMA DEILE!
11 years ago
MichuziWENYE BUCHA MOSHI WAGOMA KUUZA NYAMA KWA SIKU MBILI
Globu ya Jamii, Moshi
WAKAZI wa mji Manispaa ya Moshi, wametaabika kwa siku mbili sasa wakiwa hawapati kitoweo cha Nyama baada ya halmashauri ya manispaa hiyo na mamlaka ya udhibiti wa Chakula na dawa TFDA kuyafunga maduka ya nyama ambayo hayakidhi vigezo vya afya.
Katika hali inayoonesha kuwapo kwa mgomo wa wauza...
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Magufuli na mfupa uliomshinda fisi
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Watoto waliwa na fisi, wafa
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Msako wa fisi Geita waanza
IDARA ya Maliasili na Utalii Wilaya za nyang’hwale na Geita kupitia kitengo cha wanyamapori imeanza msako mkali wa kuwaua Fisi ambao siku za hivi karibuni wamegeuka tishio kwa binadamu hususani...
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Fisi wasitisha mradi wa nguruwe
9 years ago
Habarileo19 Aug
Wakazi Bariadi wahofu kushambuliwa na fisi
WAKAZI wengi wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, wameingiwa na hofu baada ya kuwepo kwa matukio mfululizo ya watu kushambuliwa na fisi hadi kufa katika maeneo mbalimbali mjini hapa.
11 years ago
Habarileo09 Apr
Amtupa mwanawe usiku aliwe na fisi
JESHI la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mkazi mmoja wa kijiji cha Songambele wilayani Maswa mkoani hapa, kwa tuhuma za kutaka kumuua mtoto wake kwa kumtupa na kumtelekeza nje ya nyumba ili aliwe na fisi.