Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fisi wasitisha mradi wa nguruwe

Mradi wa kufuga nguruwe uliokuwa ukitekelezwa na Kikundi cha Twaweza, Kata ya Mwendakulima, wilayani Kahama umefungwa baada ya fisi kuvamia zizi na kuwatafuna wote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Imamu aiba nguruwe

KATIKA hali isiyo ya kawaida, aliyekuwa Imamu wa Msikiti wa Kisesa uliopo Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Salum Yusuph, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiwa ameiba...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Marufuku kusafirisha nguruwe’

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani amepiga marufuku usafirishaji nguruwe nchini bila kibali cha wataalamu wa mifugo, lengo likiwa ni kuzuia kuenea homa ya nguruwe iliyoripotiwa mkoani Mbeya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je, walaji wa nguruwe wana hofu?

Kumekuwa na mjadala kuhusu ulaji wa nyama ya nguruwe katika maeneo mengi duniani kwa madai kuwa ina madhara kiafya.

 

10 years ago

GPL

FISI HAACHIWI BUCHA

He he he heeee, acha nicheke miye mwana Kibatari mjukuu ya Kandili, unajua vitu vingine vinachekesha kama si kusikitisha, unalalamika mwanamke mzima uliyekamilika tena bila aibu eti mfanyakazi wako wa ndani anakulia mali zako kwa mumeo kuhamishia mapenzi kwake! Unajua kauli hiyo hunifanya nikumbuke ile kauli isemayo mpambe awe mwenye mali na mwenye mali aonekane mpambe. Ooh, nilikuja na kasi ya ajabu na miye bila salamu kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nguruwe wanaorandaranda kupigwa risasi India

Mji wa Shivpur nchini India umejikuta matatani baada ya maafisa wake kuwataka watu wanaomiliki bunduki kuwapiga risasi Nguruwe wanaorandaranda mjini

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto waliwa na fisi, wafa

Bahi. Watoto wawili wenye umri wa kati ya miaka miwili na mitano wameuawa na fisi katika Kijiji cha Mnkola, Kata ya Ibihwa wilayani Bahi Mkoa wa Dodoma katika matukio mawili tofauti.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msako wa fisi Geita waanza

IDARA ya Maliasili na Utalii Wilaya za nyang’hwale na Geita kupitia kitengo cha wanyamapori imeanza msako mkali wa kuwaua Fisi ambao siku za hivi karibuni wamegeuka tishio kwa binadamu hususani...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli na mfupa uliomshinda fisi

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amekuja na ahadi ya kuanzisha mahakama maalumu ya kusikiliza kesi za rushwa na ufisadi.

 

10 years ago

Habarileo

Akacha shule kwa kunogewa penzi la nguruwe

UNAWEZA kudhani ni Hekaya za Kusadikika! Lakini ni kisa cha kweli kwamba mama mzazi amemshitaki polisi mwanawe wa kiume, ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16, kwa kile anachodai amechoshwa na tabia ya mwanawe ya kufanya mapenzi na nguruwe wao jike mara kwa mara na hata kujikuta akiacha shule.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani