Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Akacha shule kwa kunogewa penzi la nguruwe

UNAWEZA kudhani ni Hekaya za Kusadikika! Lakini ni kisa cha kweli kwamba mama mzazi amemshitaki polisi mwanawe wa kiume, ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16, kwa kile anachodai amechoshwa na tabia ya mwanawe ya kufanya mapenzi na nguruwe wao jike mara kwa mara na hata kujikuta akiacha shule.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

NICE MOHAMED ‘MTUNISI’: Msanii aliyekacha kurusha ndege kwa kunogewa uigizaji

TASNIA ya filamu ni miongoni mwa sekta ambazo zimefanikiwa kutoa ajira nyingi kwa vijana wa Kitanzania katika miaka ya hivi karibuni, hali inayosaidia kupunguza tabia za vijana kukaa vijiweni. Hata...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM, mkuki ni kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu?

HIVI karibuni Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitoa waraka unaojadili mapendekezo ya katiba mpya nje ya Bunge Maalumu la Katiba na kuujadili kwenye vikao vya Umoja wa Wabunge wa CCM (Part...

 

9 years ago

StarTV

Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule

Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.

Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...

 

5 years ago

Bongo5

Jah Prayzah azidi kunogewa na Bongo Flava

Ni dhahiri, Jah Prayzah amenogewa na ladha ya muziki wa Bongo Fleva.

Muimbaji huyo kutoka Zimbabwe, anamshukuru Diamond kila kukicha, ambaye alimshirikisha katika wimbo wake wa ‘Wotora Mari’ na kumpatia tobo kubwa Afrika kwa kuanza kusikilizwa zaidi maeneo mbalimbali Afrika, na kupelekea kujinyakulia tuzo ya Listener’s Choice Awards ya MTV MAMA mwaka jana.

Sasa mkali huyo ameonekana akiwa studio na msanii kutoka WCB, Harmonize na kuandika ujumbe katika mtandao wa Instagram unaoashiria...

 

10 years ago

GPL

BAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28

 Mkuu wa shule ya sekondari ya Ifunda akizungumza na wanafunzi hao hivi karibuni. Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda. Uongozi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda  mkoani  Iringa  imewaita wanafunzi 28 kufika shuleni hapo octoba 2 ikiwa ni baada ya  shule  hiyo …

 

11 years ago

GPL

DINO AKACHA UIGIZAJI

Na Gladness Mallya
MKALI wa sinema za Kibongo, Denis Swea ‘Dino’ ameamua kuachana na uigizaji akidai haulipi. Denis Swea ‘Dino’. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni jijini Dar, Dino alisema badala ya kuigiza ameamua kurekodi vipindi ambavyo atavirusha katika televisheni kwani angalau inalipa kuliko sinema. “Nimeona bora kuweka pembeni uigizaji na nimeelekeza nguvu zangu zote katika suala...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mgombea CHADEMA akacha

MGOMBEA nafasi ya Uenyekiti Taifa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Kansa Mbarouk, amedaiwa kuwakwepa viongozi wa chama hicho wanaotaka kumpa barua ya wito kufika kusikiliza ufafanuzi wa pingamizi lake...

 

10 years ago

Vijimambo

FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B

Mkuu wa Idara ya ukaguzi wa Mahesabu FNB Baraka Thomas (kushoto) akikata utepe kwa ajili ya kumkabidhi MwalimuMkuu wa Shule ya Msingi Msasani B, Bw.Victor Kamuli madarasa baada ya kufanyiwa ukarabati pia ilikabidhi madawati na mikoba ya shule hivi karibuni jijini Dar as Salaam. Mfanyakazi wa FNB Bi Dora Bundala akimuelekeza kuchora mwanafunzi wa darasa la kwanza wakati FNB ilipokabidhi madarasa , mikoba ya shule , vitabu ,na rangi Katika shule ya Msingi Msasani B hivi karibuni jijini...

 

10 years ago

GPL

ESHA BUHETI AKACHA KUIGIZA

MREMBO asiye na majivuno kunako anga la filamu Bongo, Esha Buheti amenawa mikono kwenye ulingo wa filamu kutokana na kuchoshwa na malipo kiduchu anayoyapata kwenye tasnia hiyo na kugeukia kwenye mambo ya ujasiriamali. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1hzjtor

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani