ESHA BUHETI AKACHA KUIGIZA
![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSlFm5C5RuYiivAmc0rU8Os8D7xRpbqc072zUVp56NCGz50eWyQwm8yfg6dc2Y*QEO-HTFOeNbHQnt9zNjtyx2Dc/esha.jpg)
MREMBO asiye na majivuno kunako anga la filamu Bongo, Esha Buheti amenawa mikono kwenye ulingo wa filamu kutokana na kuchoshwa na malipo kiduchu anayoyapata kwenye tasnia hiyo na kugeukia kwenye mambo ya ujasiriamali. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1hzjtor
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGTRSOKNXYmj46XWVyLe3i5-XUEvSLqYeDauDzkpX3i2tPCsqclEEFWVorQ5thAaMN3yIpV*KeXu3fP50Yf9Or8E/esha.jpg)
TATUU ZAMUUMBUA ESHA BUHETI
9 years ago
Bongo Movies11 Nov
Tatuu Zamuumbua Esha Buheti
BAADA ya hivi karibuni wasanii wa filamu waliokuwa wapenzi, Wastara Juma na Bond Suleiman kutengana, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ameibuka na kumshauri staa huyo kukubaliana na matokeo.
Aunty Lulu aliyewahi kuwa mpenzi wa Bond, alimtaka mwenzake kukubaliana na matokeo kwani huenda muda ndiyo umefika na katika mapenzi, hilo ni jambo la kawaida.
“Sina la kuzungumza juu ya Bond maana sihusiani naye, mapenzi yalikuwa zamani ila kama uchumba umevunjika basi namshauri Wastara akubaliane tu na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXqrVJ-YCnvvP2ahJHGLFZC8SWXtRDHbyK*K9cI-pXE9P*zouURFTcLXolYglgahjcJHoaRSpuNG2iwmQDexQaqo/Buheti.gif?width=650)
ESHA BUHETI AKIRI KUCHEPUKA
10 years ago
Bongo Movies29 Jun
Baridi ya Uingereza Ilimtesa Esha Buheti
MWIGIZAJI nyota wa kike Bongo Esha Buheti amefunguka kuwa baridi aliyokutana nayo nchini Uingereza hakutamani kuendelea kubaki London kwani toka azaliwe hajawahi kukutana na baridi kama aliyokutana na nayo huku, kwa alitamani kurudi Bongo.
wanasema kuna baridi Iringa sijui Tanga na sehemu nyinginezo lakini lile la London si baridi bali ni hatari, nilikuwa nimekata tamaa na kutaka kurudi kwani baridi ilikuwa kali sana,”anasema Esha.
Msanii huyo alikuwa nchini Uingereza kurekodi filamu akiwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFm6*sqGkuxv8iy3Txrf0FG94EX9I4nqH9rlLT0NPEYPqd1uMBac*RIHq9uIrJKrmTXKu74TnpT-RnvsHUcI7VXQ/esha.jpg)
ESHA BUHETI AWASHANGAA WALIOKIMBIA UCHAGUZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWwnqqEAnVBtzmlshOUFO1wEFL0TVunN5npVTjLOo6l7YHV1edvUe8a6o43E3F0RSdLe-daIwIQEOBu-64WrdAJl/esha.jpg?width=650)
ESHA BUHETI ANANGWA, KISA MAKALIO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbsfs2VrfFRZJSnkmHVJFgJNaNY1Bi-kDS6rs1Z0ewrDugWqu23pOe23t15OUx9PCn7tcyZOHUsUQ5k9Cdfve*n/5.jpg?width=650)
ESHA BUHETI AAPA KIAPO CHA KIFO
10 years ago
Bongo Movies21 Mar
Esha Buheti Atoboa Kinachoendelea Huko London
Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Esha Buheti yupo nchini Uingereza akirekodi filamu huko iliyoandaliwa na Didas Entertainment ya inayomilikiwa na mtanzania anayeishi huko, Eshe yupo na wasanii wengine .
Wasanii walioambatana na msanii huyo ni pamoja na meneja wa kampuni hiyo kwa Bongo Husna Chobis, Yusuf Mlela wasanii hawa wanaungana na wasanii wengine kutoka nchini nyingine za Kiafrika sambamba na waingereza katika kurekodi sinema hiyo.
“Tunashukru tunaendelea vizuri katika kazi yetu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6qCCi3JSFIt4*Au9SoSh0xK9ipYe*2Lt1PvPGjqIFXo0Gy4W9v1zr2SCeqJSwg-hqePmETm32PSqudYtdsA4ZSr/ESHA.jpg)
ESHA BUHETI APANGUA TUHUMA ZA KUBEBWA ZIFF