Jah Prayzah azidi kunogewa na Bongo Flava
Ni dhahiri, Jah Prayzah amenogewa na ladha ya muziki wa Bongo Fleva.
Muimbaji huyo kutoka Zimbabwe, anamshukuru Diamond kila kukicha, ambaye alimshirikisha katika wimbo wake wa ‘Wotora Mari’ na kumpatia tobo kubwa Afrika kwa kuanza kusikilizwa zaidi maeneo mbalimbali Afrika, na kupelekea kujinyakulia tuzo ya Listener’s Choice Awards ya MTV MAMA mwaka jana.
Sasa mkali huyo ameonekana akiwa studio na msanii kutoka WCB, Harmonize na kuandika ujumbe katika mtandao wa Instagram unaoashiria...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo510 Jan
New Music: Eddie Murphy atoa wimbo mpya wa Reggae ‘Oh Jah Jah’
5 years ago
Michuzi
BONGO FLAVA COMING OF BONGO POLITICAL AGE

When Joseph Mbilinyi alias Mr. Two, or Too Proud and now Sugu, was sworn in as Member of Parliament for Mbeya urban in 2010, he sent buzzing vibes to the Tanzania music industry. It was surreal to imagine that a Bongo Flava artist barred its reputation at the time, making it to its most potent legislative organ. Sugu, known for his strong lyrical messages, is regarded as an epitome of Bongo Fleva entrance into politics by being brave enough to challenge the status quo of...
11 years ago
TheCitizen19 Sep
COVER: Where did ‘Bongo Flava’ tag come from?
11 years ago
TheCitizen25 Mar
We need a Bongo-flava metamorphosis fast!
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Bongo flava muziki wa Tanzania unavyokua
10 years ago
TheCitizen30 Oct
Diamond sets the bar for Bongo Flava
10 years ago
TheCitizen10 Jul
Top Bongo flava divas who went awol
11 years ago
TheCitizen25 Apr
Pay for play the new bug in Bongo Flava