New Music: Eddie Murphy atoa wimbo mpya wa Reggae ‘Oh Jah Jah’
Muigizaji maarufu na mwanamuziki, Eddie Murphy ametoa wimbo mpya wa miondoko ya Reggae uitwao “Oh Jah Jah”. Wimbo huu umefata single yake ya mwisho aliyomshirikisha Snoop Dogg, “Red Light” iliyotoka 2013.
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Bongo514 Feb
Jah Prayzah azidi kunogewa na Bongo Flava
Ni dhahiri, Jah Prayzah amenogewa na ladha ya muziki wa Bongo Fleva.
Muimbaji huyo kutoka Zimbabwe, anamshukuru Diamond kila kukicha, ambaye alimshirikisha katika wimbo wake wa ‘Wotora Mari’ na kumpatia tobo kubwa Afrika kwa kuanza kusikilizwa zaidi maeneo mbalimbali Afrika, na kupelekea kujinyakulia tuzo ya Listener’s Choice Awards ya MTV MAMA mwaka jana.
Sasa mkali huyo ameonekana akiwa studio na msanii kutoka WCB, Harmonize na kuandika ujumbe katika mtandao wa Instagram unaoashiria...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-dQAawS3vVygq4eHKBUxaC1wlv6*IOmFqKKQuNZTtioP2c6c0gtj6lSQMps-Kk4YQQ26tyIb60I56WvInSlSm7D/wenn22189752.jpg?width=650)
EDDIE MURPHY KUPATA MTOTO WA TISA
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Eddie Murphy, Butcher kupata mtoto wa tisa
LAS VEGAS, MAREKANI
NYOTA wa filamu nchini Marekani, Eddie Murphy na mke wake, Paige Butcher, wanatarajia kupata mtoto wao wa tisa ifikapo Mei mwakani.
Kwa upande wa Murphy mpaka sasa jumla ana watoto saba ambaye aliwapata nje ya mke wake wa sasa, huku mke huyo akiwa na mtoto mmoja na akitarajia kupata mtoto huyo wa pili na kuwa na familia ya watoto tisa.
Hata hivyo, kwa upande wa mrembo huyo, ‘Paige’ ameonekana kuwa na furaha kubwa ya kupata mtoto na staa huyo wa filamu.
“Ni furaha kubwa...
10 years ago
BBCSwahili23 Jul
''Museveni'' atoa wimbo mpya wa kampeni
9 years ago
Bongo517 Nov
Video: Adele atoa wimbo mpya baada ya ‘Hello’ – When We Were Young
![Adele new](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Adele-new-300x194.jpg)
Wakati bado hit single yake ‘Hello’ inaendelea kufanya vizuri na kuvunja rekodi, na zikiwa zimebaki siku nne kabla album ya tatu ya Adele iitwayo ‘25’ itoke, muimbaji huyo wa Uingereza ametambulisha wimbo mpya ‘When We Were Young’ wakati wa mahojiano aliyofanya na 60 Minutes Australia. ‘25’ inatarajiwa kutoka Almahisi hii November 20.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube...
10 years ago
Bongo508 Jan
New Music: Ne-Yo aachia wimbo mpya ‘Make It Easy’
10 years ago
Bongo501 Oct
Belle 9 auzungumzia wimbo wake mpya Vitamin Music
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Mo Music amtamani KCEE katika wimbo wake mpya
NA AGNES MHAGAMA
BAADA ya wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva kufanya vizuri kimataifa kupitia ushirikiano na wasanii wa kimataifa, msanii anayefanya vizuri katika wa muziki huo, Moshi Katemi ‘Mo Music’ naye ana matarajio ya kushirikiana na msanii kutoka Nigeria, KCEE.
Mo Music, anayetamba na wimbo wa ‘Basi Nenda’ na ‘Ntazoea’, alisema ameshafanya mawasiliano na msanii huyo na mipango ikienda kama walivyopanga watakamilisha wimbo huo ndani ya mwaka huu.
“Nimemchagua KCEE kwa sababu...
10 years ago
Bongo528 Feb
Nikki Mbishi atoa sababu za kubadili uamuzi wa kuacha muziki, kutoa wimbo mpya March 4