Mo Music amtamani KCEE katika wimbo wake mpya
NA AGNES MHAGAMA
BAADA ya wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva kufanya vizuri kimataifa kupitia ushirikiano na wasanii wa kimataifa, msanii anayefanya vizuri katika wa muziki huo, Moshi Katemi ‘Mo Music’ naye ana matarajio ya kushirikiana na msanii kutoka Nigeria, KCEE.
Mo Music, anayetamba na wimbo wa ‘Basi Nenda’ na ‘Ntazoea’, alisema ameshafanya mawasiliano na msanii huyo na mipango ikienda kama walivyopanga watakamilisha wimbo huo ndani ya mwaka huu.
“Nimemchagua KCEE kwa sababu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo501 Oct
Belle 9 auzungumzia wimbo wake mpya Vitamin Music
10 years ago
GPL01 Jan
10 years ago
GPLQ-CHILLAH KUKINUKISHA MAISHA CLUB LEO KATIKA UTAMBULISHO WA WIMBO WAKE MPYA 'FOR YOU'
10 years ago
Bongo508 Jan
New Music: Ne-Yo aachia wimbo mpya ‘Make It Easy’
9 years ago
Bongo510 Nov
Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent
![222](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/222-300x194.jpg)
Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.
Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.
Chanzo...
9 years ago
Bongo530 Oct
Music: Barnaba aonjesha wimbo wake na Jose Chameleone ‘Nakutunza’ utakaotoka Nov.5
11 years ago
Bongo512 Aug
Picha/Audio: Utengenezaji wa video mpya ‘Mr. Oreo’ ya Iyanya, Marekani na sikiliza wimbo wake mpya ‘Story story’
10 years ago
Jamtz.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-dPHLNkHgISQ/VCs3FD__IvI/AAAAAAAABMU/hTTaYOYBAEI/s72-c/Belle%2B9%2B-%2BVitamin%2BMusic%2BFt.%2BJoh%2BMakini.png)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rmfWbRXy4r4/default.jpg)
Nuru the Light aachia video ya wimbo wake mpya ‘L’
Muimbaji wa Tanzania mwenye makazi yake nchini Sweden, Nuru The Light ameachia video ya wimbo wake mpya ‘L’. Nuru alifanya uzinduzi rasmi wa video hiyo Jumamosi hii kwenye kiota kipya cha starehe, Jozi Lounge kilichopo Msasani jijini Dar es Salaam.
Uzinduzi huo ulihudhuriwa na mastaa, marafiki zake wa karibu na mashabiki.
Video ya wimbo huo imefanyika jijini Dar es Salaam na kuongozwa na muongozaji na mshindi wa tuzo kibao, Adam Juma aka AJ. Mandhari ya kuvutia ya fukwe za bahari ya Hindi...