Belle 9 auzungumzia wimbo wake mpya Vitamin Music
Belle 9 ameachia wimbo wake mpya ‘Vitamin Music’ aliomshirikisha Joh Makini. Akizungumza na XXL ya Clouds FM jana, Belle alisema wimbo huo ni sehemu ya project yake mpya ya album yenye jina hilo. “Ngoma tulifanya kwa Mona Gangster, Classic Sounds lakini mimi sikumtafuta Joh na yeye hakunitafuta, ni ushikaji tu wa muda mrefu, akija studio […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Jamtz.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-dPHLNkHgISQ/VCs3FD__IvI/AAAAAAAABMU/hTTaYOYBAEI/s72-c/Belle%2B9%2B-%2BVitamin%2BMusic%2BFt.%2BJoh%2BMakini.png)
10 years ago
Bongo524 Feb
New Video: Belle 9 ft. Joh Makini — Vitamin Music
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xMY5FoTUwR0/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/xMY5FoTUwR0/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Mo Music amtamani KCEE katika wimbo wake mpya
NA AGNES MHAGAMA
BAADA ya wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva kufanya vizuri kimataifa kupitia ushirikiano na wasanii wa kimataifa, msanii anayefanya vizuri katika wa muziki huo, Moshi Katemi ‘Mo Music’ naye ana matarajio ya kushirikiana na msanii kutoka Nigeria, KCEE.
Mo Music, anayetamba na wimbo wa ‘Basi Nenda’ na ‘Ntazoea’, alisema ameshafanya mawasiliano na msanii huyo na mipango ikienda kama walivyopanga watakamilisha wimbo huo ndani ya mwaka huu.
“Nimemchagua KCEE kwa sababu...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/nEgBQBNeYDQ/default.jpg)
10 years ago
Bongo516 Dec
Professor J auzungumzia wimbo ‘Kwaajili Yako’ f/ Chameleone unaotoka J5 hii
10 years ago
Bongo508 Jan
New Music: Ne-Yo aachia wimbo mpya ‘Make It Easy’
9 years ago
Bongo510 Nov
Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent
![222](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/222-300x194.jpg)
Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.
Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.
Chanzo...