Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EDDIE MURPHY KUPATA MTOTO WA TISA

Staa wa filamu, Eddie Murphy akiwa na mpenzi wake Paige Butcher. STAA wa filamu, Eddie Murphy anatarajiwa kuwa baba kwa mara nyingine kutokana na mpenzi wake, Paige Butcher kuwa mjamzito. Murphy, 54, na Butcher, 36, wamekuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa miaka minne sasa na wanatarajiwa kumpata mtoto wao huyo Mei, mwakani huku akiwa ni mtoto wa tisa kwa Murphy. Watoto wengine wa Murphy aliowapata kwa wanawake mbalimbali ni;...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Eddie Murphy, Butcher kupata mtoto wa tisa

eddie-murphyLAS VEGAS, MAREKANI

NYOTA wa filamu nchini Marekani, Eddie Murphy na mke wake, Paige Butcher, wanatarajia kupata mtoto wao wa tisa ifikapo Mei mwakani.

Kwa upande wa Murphy mpaka sasa jumla ana watoto saba ambaye aliwapata nje ya mke wake wa sasa, huku mke huyo akiwa na mtoto mmoja na akitarajia kupata mtoto huyo wa pili na kuwa na familia ya watoto tisa.

Hata hivyo, kwa upande wa mrembo huyo, ‘Paige’ ameonekana kuwa na furaha kubwa ya kupata mtoto na staa huyo wa filamu.

“Ni furaha kubwa...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Eddie Murphy atoa wimbo mpya wa Reggae ‘Oh Jah Jah’

Muigizaji maarufu na mwanamuziki, Eddie Murphy ametoa wimbo mpya wa miondoko ya Reggae uitwao “Oh Jah Jah”. Wimbo huu umefata single yake ya mwisho aliyomshirikisha Snoop Dogg, “Red Light” iliyotoka 2013.

 

10 years ago

Vijimambo

TMF YAFADHILI WANAHABARI TISA KWENDA ACCRA NCHINI GHANA KUPATA MAFUNZO‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF), Ernest Sungura.Mkufunzi wa Masuala ya Biashara za Habari kutoka Accra Ghana, Nuamah Eshun (katikati), akizungumza katika hafla ya kuwaaga wanahabari hao Dar es Salaam leo asubuhi, kabla ya kuondoka kwenda nchini humo kwa mafunzo hayo ya siku 10. Eshun atakuwa ni mmoja wa wakufunzi wa mafunzo hayo. Kulia ni Ofisa Mwandamizi wa Misaada wa TMF, Alex Kanyambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF),...

 

10 years ago

GPL

TMF YAFADHILI WANAHABARI TISA KWENDA ACCRA NCHINI GHANA KUPATA MAFUNZO‏

 Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF), Ernest Sungura.  Mkufunzi wa Masuala ya Biashara za Habari kutoka Accra Ghana,  Nuamah Eshun (katikati), akizungumza katika hafla ya kuwaaga wanahabari hao Dar es Salaam leo asubuhi, kabla ya kuondoka  kwenda nchini humo kwa mafunzo hayo ya siku 10. Eshun atakuwa ni mmoja wa wakufunzi wa mafunzo hayo. Kulia ni… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA TISA: Mtoto anaanza kukua kwa kasi

INAPOINGIA wiki hii, mtoto anakuwa amekua na kufikia urefu wa kama inchi moja hivi. Anakuwa ameshazidi ukubwa wa haragwe ambao alikuwa nao wiki iliyopita. Wakati huu anakuwa ameshaanza kuonyesha viungo...

 

11 years ago

Michuzi

MTOTO WA MIAKA TISA, IDDA BAITWA AELEKEA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO.

Mtoto Idda Baitwa akiwa na ndugu yake Leah Baitwa wakiwa wamepumzika baada ya kutembea umbari mrefu wakipanda mlima Kilimanjaro.Mtoto Idda Baitwa akijaribu kupita katika miamba kwa msaada wa fimbo wakati akipanda mlima Kilimanjaro."Hoi' ni baada ya kutembea umbali mrefu.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

5 years ago

Michuzi

MTOTO WA MIAKA TISA AOMBA MSAADA KWA WASAMARIA WEMA AKAPATE MATIBABU YA MOYO MUHIMBILI


NA  YEREMIAS  NGERANGERA…NAMTUMBOMtoto mwenye umri wa miaka  tisa na mwanafunzi wa darasa la tatu  katika shule ya msingi Likuyuseka wilayani Namtumbo  mkoani Ruvuma Jeska James Kifaru anaomba kutoka kwa wasamaria wema kumsaidia mchango wa fedha ili aweze  kwenda matibabu ya moyo katika hospitali ya Taifa Muhimbili  baada ya wazazi wake kutokuwa na uwezo wa kumfikisha katika hospitali hiyo.Akiongea akiwa katika ofisi ya Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo  Jeska alisema anaomba msaada kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kumsaidia mgumba kupata mtoto

Mimi ni mwanaume wa miaka 62 ni mmoja wa waathirika wa tatizo la ugumba, kwa muda mrefu nimekuwa nikihangaikia bila mafanikio kutatua tatizo hili.

 

9 years ago

Mtanzania

Prezzo anatarajia kupata mtoto wa pili

PREZZO (1)NAIROBI, Kenya

NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘CMB Prezzo’ anatarajia mtoto wa kiume hivi karibuni.

Prezzo amempa jina la Gabriel mtoto huyo kabla hajazaliwa. Msanii huyo mpaka sasa hajaoa, lakini ana mtoto mmoja na sasa anatarajia kupata mtoto wa pili.

“Natarajia mtoto wa kiume siku yoyote, ni furaha kubwa kupata mtoto wa kiume kwa kuwa naamini ataiga mambo yangu mengi, ikiwemo aina ya mavazi ninayopenda kuvaa.

“Nimeamua kumpa jina mapema kabla ya kuzaliwa kwa kuwa najua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani