Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UJAUZITO WIKI YA TISA: Mtoto anaanza kukua kwa kasi

INAPOINGIA wiki hii, mtoto anakuwa amekua na kufikia urefu wa kama inchi moja hivi. Anakuwa ameshazidi ukubwa wa haragwe ambao alikuwa nao wiki iliyopita. Wakati huu anakuwa ameshaanza kuonyesha viungo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 15: Mtoto anaanza kupata hisia

KATIKA wiki ya 15, mtoto anakuwa amefikia urefu wa inchi nne. Hivi sasa, majimaji yaliyopo tumboni yanaweza kuanza kupenya kwenye pua zake na kuingia kwenye sehemu ya juu ya njia...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 18: Kuchagua jina la mtoto — 2

KAMA tulivyoona katika makala zilizotangulia, watu huchagua jina la mtoto kwa kufuata vigezo tofauti tofauti, lakini kwa makabila mengi nchini, moja ya jambo ambalo linatumiwa na watu wengi wakati wanapochagua...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 17: Mifupa ya mtoto yaanza kuimarika

KATIKA wiki ya 17 ya ujauzito, mwili wa mtoto unazidi kuimarika na jambo kubwa ambalo linatokea katika wiki hii ni kuzidi kuimarika kwa mifupa yake. Mifupa inabadilika kutoka kuwa ile...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 13: Anza kupanga bajeti ya mtoto

KATIKA makala iliyopita tuliona kuwa wiki ya 12 ya ujauzito ni muhimu sana kwa sababu ndicho kipindi ambacho mama ataanza kuhisi mitikisiko ya mtoto aliye tumboni. Wakati huu misuli ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 14: Unaweza kujua jinsi ya mtoto

KAMA ungekuwa na uwezo wa kumuona mtoto wakati ujauzito unapoingia wiki ya 14, ungeweza kumuona akianza kufanya ishara usoni kama vile kuminya macho, kutabasamu, kunyonya kidole na hata kukojoa. Hii...

 

11 years ago

Michuzi

KUKUA KWA KASI KWA BIMA INAYOFUATA MAADILI YA KI-ISLAMU

Katika biashara zinazokua kwa kasi duniani ni biashara ya bima inayofuata maadili ya ki- Islam inayojulikana kama ‘Takaful’. Misingi ya bima inayofuata maadili ya ki - Islam ni ushirikiano wa pande zote zinazohusika ktk biashara hiyo. Washiriki wote katika Takaful watashirikiana katika faida na hasara, kwa mfano, yoyote atakaenunua bima hiyo atakua ni kama mjasiri mali (investor) sambamba na yule anaendesha biashara hiyo (the takaful operator) na pande nyingine zitakazohusika kama vile...

 

11 years ago

Ykileo

TAHADHARI: AINA MPYA YA UHALIFU MTANDAO INAYO ENDELEA KUKUA KWA KASI.


Wahalifu mtandao wameendelea kubuni aina mpya za kufanikisha uhalifu wa mitandao hasa katika makampuni. Hili limeonekana kushika kasi katika maeneo mbali mbali na limeingia katika mijadala na kuwa ni moja ya maswala yaliyo hamasishwa kufikiswhwa kwa jamii ili kuendelea kukuza uelewa wa makosa mtandao.


Kwanza kabisa, Faili lolote ambalo linasomeka na kiambatanishi .exe mfano: umoja.exe nifaili ambalo limedhamiriwa kuingizwa kuwa ni moja ya program za komputa hivyo kabla ya kubonyeza...

 

11 years ago

Michuzi

TAHADHARI: AINA MPYA YA UHALIFU MTANDAO INAYO ENDELEA KUKUA KWA KASI HIVI SASA.

Wahalifu mtandao wameendelea kubuni aina mpya za kufanikisha uhalifu wa mitandao hasa katika makampuni. Hili limeonekana kushika kasi katika maeneo mbali mbali na limeingia katika mijadala na kuwa ni moja ya maswala yaliyo onekana yana haja kufikiswhwa kwa jamii ili kuendelea kukuza uelewa wa makosa mtandao. Kwanza kabisa, Faili lolote ambalo linasomeka na kiambatanishi .exe mfano: umoja.exe nifaili ambalo limedhamiriwa kuingizwa kuwa ni moja ya program za komputa hivyo kabla ya kubonyeza...

 

5 years ago

Michuzi

MTOTO WA MIAKA TISA AOMBA MSAADA KWA WASAMARIA WEMA AKAPATE MATIBABU YA MOYO MUHIMBILI


NA  YEREMIAS  NGERANGERA…NAMTUMBOMtoto mwenye umri wa miaka  tisa na mwanafunzi wa darasa la tatu  katika shule ya msingi Likuyuseka wilayani Namtumbo  mkoani Ruvuma Jeska James Kifaru anaomba kutoka kwa wasamaria wema kumsaidia mchango wa fedha ili aweze  kwenda matibabu ya moyo katika hospitali ya Taifa Muhimbili  baada ya wazazi wake kutokuwa na uwezo wa kumfikisha katika hospitali hiyo.Akiongea akiwa katika ofisi ya Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo  Jeska alisema anaomba msaada kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani