Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, walaji wa nguruwe wana hofu?

Kumekuwa na mjadala kuhusu ulaji wa nyama ya nguruwe katika maeneo mengi duniani kwa madai kuwa ina madhara kiafya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI MANISPAA YA SINGIDA AWAONDOLEA HOFU WALAJI WA NYAMA


Wafanyabiashara wa nyama Mkoa wa Singida wakiingiza kitoweo hicho katika maduka ya nyama yaliyopo Soko Kuu la Singida.Mwonekano wa maduka ya nyama Soko Kuu la Singida.Afisa Mifugo na Uvuvi Manispaa ya Singida, Adranus Kalekezi (kulia) akimuelekeza jambo Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida, Bravo Lyapembile kuhusu ukarabati wa machinjio ya nyama ya manispaa hiyo.Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida, Bravo Lyapembile akikagua ukarabati wa machinjio ya nyama ya manispaa hiyo. 

Na Ismail...

 

10 years ago

Mtanzania

Afande Sele: Wanaonipiga zengwe wana hofu nitawashinda

aFANDE seleeAKIWA katika maandalizi ya kuanza harakati za kuomba kura kwa wananchi wa Morogoro Mjini anapogombea nafasi ya ubunge mkoani humo, mkali wa hip hop nchini, Seleman Msindi ‘Afande Sele’, amejikuta akiwekewa pingamizi lenye madai kwamba hajui kusoma na kuandika.

Afende Sele alisema ameshangazwa na pingamizi hilo lisilo na maana katika siasa kwa kuwa haliwashtui wapigakura wake kwa kuwa wanamfahamu vizuri ngazi zote za shule alizopitia.

“Nimeshangazwa nilipoitwa kwa mkurugenzi Manispaa ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?


Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..

 

11 years ago

Tanzania Daima

Imamu aiba nguruwe

KATIKA hali isiyo ya kawaida, aliyekuwa Imamu wa Msikiti wa Kisesa uliopo Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Salum Yusuph, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiwa ameiba...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Marufuku kusafirisha nguruwe’

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani amepiga marufuku usafirishaji nguruwe nchini bila kibali cha wataalamu wa mifugo, lengo likiwa ni kuzuia kuenea homa ya nguruwe iliyoripotiwa mkoani Mbeya.

 

11 years ago

Habarileo

Walaji ‘kitimoto’ kupata kifafa

Profesa Faustine LekuleCHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimehadharisha walaji wa nyama ya nguruwe nchini, kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata kifafa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mfumuko wa bei watishia walaji

Kupanda kwa bei ya bidhaa nchini Japan kumesababisha wasiwasi mkubwa kwa walaji huku Serikali ya nchi hiyo ikijaribu kuimarisha soko la walaji wa ndani.

 

11 years ago

Mwananchi

Fisi wasitisha mradi wa nguruwe

Mradi wa kufuga nguruwe uliokuwa ukitekelezwa na Kikundi cha Twaweza, Kata ya Mwendakulima, wilayani Kahama umefungwa baada ya fisi kuvamia zizi na kuwatafuna wote.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nguruwe wanaorandaranda kupigwa risasi India

Mji wa Shivpur nchini India umejikuta matatani baada ya maafisa wake kuwataka watu wanaomiliki bunduki kuwapiga risasi Nguruwe wanaorandaranda mjini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani