Afande Sele: Wanaonipiga zengwe wana hofu nitawashinda
AKIWA katika maandalizi ya kuanza harakati za kuomba kura kwa wananchi wa Morogoro Mjini anapogombea nafasi ya ubunge mkoani humo, mkali wa hip hop nchini, Seleman Msindi ‘Afande Sele’, amejikuta akiwekewa pingamizi lenye madai kwamba hajui kusoma na kuandika.
Afende Sele alisema ameshangazwa na pingamizi hilo lisilo na maana katika siasa kwa kuwa haliwashtui wapigakura wake kwa kuwa wanamfahamu vizuri ngazi zote za shule alizopitia.
“Nimeshangazwa nilipoitwa kwa mkurugenzi Manispaa ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Dec
Wanaoenda kushoot South wana biashara za siri – Afande Sele

Afande Sele amedai kuwa anawashangaa wasanii wanaoenda kushoot video zao nje ya nchi wakati Tanzania ina kila kitu.
Rapa huyo mkongwe aliyekuwa kimya kutokana na shughuli za kampeni, ameiambia Bongo5 kuwa anaamini wasanii wanaosafiri kwaajili ya kushoot video nje, wana bishara zao za siri.
“Kwenye kushoot video nje ni ulimbukeni,” amesema.
“Tanzania tuna kila kitu kuliko hata huko wanakoenda. Mimi hii naitafsiri ni usaliti wa nchi, sisi tunakosa nini hapa nyumbani? Tuna milima, mbuga,...
11 years ago
GPL
MASKINI AFANDE SELE
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Ukata wamkwamisha Afande Sele
11 years ago
GPL
AFANDE SELE AZIMIA AKIMZIKA MKEWE!
11 years ago
Michuzi04 Mar
introducing 'MWENDO WA KASI' BY AFANDE SELE
11 years ago
GPLMKE WA AFANDE SELE AZIKWA MOROGORO
11 years ago
GPL
MKE WA AFANDE SELE AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPL
DADA WA AFANDE SELE AFIA GESTI
11 years ago
GPL
AFANDE SELE ANASWA NA DEMU MPYA