Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKURUGENZI MANISPAA YA SINGIDA AWAONDOLEA HOFU WALAJI WA NYAMA


Wafanyabiashara wa nyama Mkoa wa Singida wakiingiza kitoweo hicho katika maduka ya nyama yaliyopo Soko Kuu la Singida.Mwonekano wa maduka ya nyama Soko Kuu la Singida.Afisa Mifugo na Uvuvi Manispaa ya Singida, Adranus Kalekezi (kulia) akimuelekeza jambo Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida, Bravo Lyapembile kuhusu ukarabati wa machinjio ya nyama ya manispaa hiyo.Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida, Bravo Lyapembile akikagua ukarabati wa machinjio ya nyama ya manispaa hiyo. 

Na Ismail...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je, walaji wa nguruwe wana hofu?

Kumekuwa na mjadala kuhusu ulaji wa nyama ya nguruwe katika maeneo mengi duniani kwa madai kuwa ina madhara kiafya.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida

IMG_1128

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Martha Mosses Mlata, akishiriki kutekeleza agizo ya rais Dk. John Pombe Magufuli la Watanzania wote kufanya usafi katika maeneo yao, kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru kutimiza miaka 54, kwa kufanya usafi kwenye chuo cha wasioona cha mjini hapa. Pamoja na kufanya usafi chuoni hapo, Mlata alitoa msaada wa vifaa mbalimbali ikiwemo viti vya plastiki 150.Thamani ya msaada huo, ni zaidi ya shilingi 6.3  milioni. IMG_1124 IMG_1132 IMG_1142 Mbunge wa viti maalum...

 

10 years ago

Dewji Blog

Manispaa ya Singida kukusanya bil 32.2/-

DSC03680

Mstahiki meya wa manispaa ya Singida, Sheikh Salum Mahami, akifunga kikao maalum kilichopitisha mapendekezo ya bajeti ya zaidi ya shilingi 32.2 bilioni kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa katoliki mjini hapa.Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina na kushoto ni makamu meya manispaa ya Singida, Hassan Mkata.(Picha zote na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kukusanya mapato  kutoka...

 

9 years ago

Dewji Blog

REVIVALE OF ISLAMIC HARTAGE FOUNDATION: Yatoa kitoweo cha Nyama Singida

SAM_0186Baadhi ya waumini wa madhehebu ya dini ya kiislamu wa mjini Singida wakipatiwa mgao wa sadaka ya chinjo lla nyama kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Haji ambapo jumla ya watu 16,104 walinufaika na sadaka hiyo ikiwa ni ya tekelezaji wa moja ya nguzo tano za dini ya kiislamu.

Na, Jumbe Ismailly

[SINGIDA] Taasisi ya Kiislamu ya Revivale of Islamic Hartage Foundation yenye makao yake makuu nchini Kuweit,Saudi Arabia imetoa msaada wa kitoweo cha nyama ya mbuzi na kondoo 2,667 wenye...

 

9 years ago

Michuzi

RC KILIMANJARO,AMOSI MAKALA AKUTANA NA MAOFISA WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI KUZINGUMZIA JUU YA HOFU YA KIPINDUPINDU.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala akiwa katika ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi,kuzingumza na watendaji wa Afya na Mazingira.  Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala akifurahia jambo mara baada ya kukutana na watendaji wa Halmashauri kuzungumzia juu ya hofu ya Ugonjwa hatari wa Kipindupindu.kushoto kwake ni kaimu mkurugenzi wa Manispaa hiyo Jeshi Lupembe.  Wakati zoezi la kurekebisha barabara katika eneo la dampo likiendelea,mmoja wa wananchi kkatika eneo hilo alikuwa na...

 

5 years ago

Michuzi

CWT MANISPAA YA SINGIDA CHAPATA VIONGOZI WAPYA

Mwenyekiti Mpya wa Chama cha Walimu (CWT ) Manispaa ya Singida, Hamis Mtundua, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo.Mwenyekiti  wa Chama cha Walimu (CWT ) Manispaa ya Singida, Kitengo (KE), Yasinta Makiya, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi hiyo.
Wajumbe wa mkutano mkuu wa CWT ndani ya Manispaa ya Singida wilayani hapa wakiwa kwenye mkutano huo.Baadhi ya viongozi wapya wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Manispaa ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahadhari kabla ya hatari: Manispaa ya Singida mko wapi?

DSC04913

Jengo linalotumiwa na wafanyabiashara wa Tumbaku soko kuu mjini Singida,likiwa limechaa na kukosa sifa ya kutumiwa kwa hofu ya kuhatarisha maisha ya wafanyabiashara hao pamoja na wateja wao. Pamoja na kuchakaa kwa kiwango kikubwa, lakini manispaa ya Singida inajipatia ushuru kutoka kwa wafanyabiashara wa Tumbaku ambao wamedai wameililia manispaa hiyo kuliboresha,lakini juhudi zao zimeshindwa kuzaa matunda.(Picha naNathaniel Limu).

DSC04917

 

10 years ago

Dewji Blog

Ukosefu wa fedha wasababisha taka kulundikana Manispaa ya Singida

DSC04254

Dampo la taka katika kituo kidogo cha mabasi cha Msufini katika mji wa Singida.(Picha zote na Nathaniel Limu)

DSC04256

 

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKAZI wanaoishi katika Manispaa ya Singida wapo hatarini kuambukizwa magonjwa mbalimbali kutokana na Manispaa hiyo kushindwa kuzoa taka ngumu zilizopo kwenye maghuba yaliyotengwa kwa ajili ya kukusanyia taka hizo.

Wananchi hao, Mariamu Juma, Tatu Madai na Salma Marco walifafanua kwamba imekuwa ni kawaida kwa Manispaa hiyo kutozoa takataka...

 

5 years ago

Michuzi

Bilioni 16 Zaleta Mageuzi Miundombu ya Barabara Manispaa ya Singida

Muonekano wa taa katika barabara yakuingia mjini Singida kama ilivyokutwa Machi 27, 2020 baada ya kutekelezwa kwa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya mji huo.
Moja ya barabara za Halmashauri ya Manispaa ya Singida kama inavyoonekana baada ya ujenzi na uwekaji wa taa kukamilka.
Muonekano wa Stendi Kuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Singida inayohdumia mabasi ya ndani na nje ya nchi kama inavyoonekana katika picha, mradi huo umetekelezwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 3 na kuwezesha mapato...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani