MKURUGENZI MANISPAA YA SINGIDA AWAONDOLEA HOFU WALAJI WA NYAMA
Wafanyabiashara wa nyama Mkoa wa Singida wakiingiza kitoweo hicho katika maduka ya nyama yaliyopo Soko Kuu la Singida.
Mwonekano wa maduka ya nyama Soko Kuu la Singida.
Afisa Mifugo na Uvuvi Manispaa ya Singida, Adranus Kalekezi (kulia) akimuelekeza jambo Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida, Bravo Lyapembile kuhusu ukarabati wa machinjio ya nyama ya manispaa hiyo.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida, Bravo Lyapembile akikagua ukarabati wa machinjio ya nyama ya manispaa hiyo.
Na Ismail...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Je, walaji wa nguruwe wana hofu?
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida
![IMG_1124](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1124.jpg)
![IMG_1132](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1132.jpg)
![IMG_1142](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1142.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 Jan
Manispaa ya Singida kukusanya bil 32.2/-
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kukusanya mapato kutoka...
9 years ago
Dewji Blog30 Sep
REVIVALE OF ISLAMIC HARTAGE FOUNDATION: Yatoa kitoweo cha Nyama Singida
Baadhi ya waumini wa madhehebu ya dini ya kiislamu wa mjini Singida wakipatiwa mgao wa sadaka ya chinjo lla nyama kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Eid-El-Haji ambapo jumla ya watu 16,104 walinufaika na sadaka hiyo ikiwa ni ya tekelezaji wa moja ya nguzo tano za dini ya kiislamu.
Na, Jumbe Ismailly
[SINGIDA] Taasisi ya Kiislamu ya Revivale of Islamic Hartage Foundation yenye makao yake makuu nchini Kuweit,Saudi Arabia imetoa msaada wa kitoweo cha nyama ya mbuzi na kondoo 2,667 wenye...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7aPiwHTe1z8/VlPsM6YCW8I/AAAAAAAAW5I/x9DvY8Qpv0k/s72-c/IMG_8948%2B%25281024x683%2529.jpg)
RC KILIMANJARO,AMOSI MAKALA AKUTANA NA MAOFISA WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI KUZINGUMZIA JUU YA HOFU YA KIPINDUPINDU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-7aPiwHTe1z8/VlPsM6YCW8I/AAAAAAAAW5I/x9DvY8Qpv0k/s640/IMG_8948%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RQPSHud7LMo/VlPsM6fKSkI/AAAAAAAAW5M/hFQieCiRMHI/s640/IMG_8950%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--CzsnBbLcNo/VlPsjU0XCoI/AAAAAAAAW6M/5PUHLoJE13A/s640/P1780647%2B%25281024x768%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QKalFa_iaQ8/XphoRM0hl0I/AAAAAAAAkuI/8Va850f-xBo98gTvyIt7TXhxEFD_7MvjgCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-04-16-17h13m20s924.png)
CWT MANISPAA YA SINGIDA CHAPATA VIONGOZI WAPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QKalFa_iaQ8/XphoRM0hl0I/AAAAAAAAkuI/8Va850f-xBo98gTvyIt7TXhxEFD_7MvjgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-04-16-17h13m20s924.png)
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Tahadhari kabla ya hatari: Manispaa ya Singida mko wapi?
Jengo linalotumiwa na wafanyabiashara wa Tumbaku soko kuu mjini Singida,likiwa limechaa na kukosa sifa ya kutumiwa kwa hofu ya kuhatarisha maisha ya wafanyabiashara hao pamoja na wateja wao. Pamoja na kuchakaa kwa kiwango kikubwa, lakini manispaa ya Singida inajipatia ushuru kutoka kwa wafanyabiashara wa Tumbaku ambao wamedai wameililia manispaa hiyo kuliboresha,lakini juhudi zao zimeshindwa kuzaa matunda.(Picha naNathaniel Limu).
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Ukosefu wa fedha wasababisha taka kulundikana Manispaa ya Singida
Dampo la taka katika kituo kidogo cha mabasi cha Msufini katika mji wa Singida.(Picha zote na Nathaniel Limu)
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKAZI wanaoishi katika Manispaa ya Singida wapo hatarini kuambukizwa magonjwa mbalimbali kutokana na Manispaa hiyo kushindwa kuzoa taka ngumu zilizopo kwenye maghuba yaliyotengwa kwa ajili ya kukusanyia taka hizo.
Wananchi hao, Mariamu Juma, Tatu Madai na Salma Marco walifafanua kwamba imekuwa ni kawaida kwa Manispaa hiyo kutozoa takataka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1sCGVfxzOE8/XpYOnv1_tCI/AAAAAAALm9w/c5Uf7H1px8w8681FeipN3UZZ5M-3fbNGQCLcBGAsYHQ/s72-c/2e93a306-8813-410e-817f-cc51122b3786.jpg)
Bilioni 16 Zaleta Mageuzi Miundombu ya Barabara Manispaa ya Singida
![](https://1.bp.blogspot.com/-1sCGVfxzOE8/XpYOnv1_tCI/AAAAAAALm9w/c5Uf7H1px8w8681FeipN3UZZ5M-3fbNGQCLcBGAsYHQ/s640/2e93a306-8813-410e-817f-cc51122b3786.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/4bd3fc06-f654-4e6d-bb44-ffd03fde6d57.jpg)
Moja ya barabara za Halmashauri ya Manispaa ya Singida kama inavyoonekana baada ya ujenzi na uwekaji wa taa kukamilka.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/634e9b08-3175-4d3d-b648-66394fb3ddd8.jpg)
Muonekano wa Stendi Kuu ya Halmashauri ya Manispaa ya Singida inayohdumia mabasi ya ndani na nje ya nchi kama inavyoonekana katika picha, mradi huo umetekelezwa kwa gharama ya shilingi Bilioni 3 na kuwezesha mapato...