Manispaa ya Singida kukusanya bil 32.2/-
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kukusanya mapato kutoka...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV13 Feb
Manispaa Morogoro yatarajia kukusanya Sh. Bil 5.3 2015/2016.
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro inatarajia kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 5 kutoka kwenye vyanzo vyake ya mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2015/2016 ikiwa ni ongezeko la asilimia 13.3 ya makadirio ya mwaka 2014/2015.
Kwa mwaka wa fedha 2014/2015, halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ilikusanya shilingi Bilioni 4.7 kutoka kwenye vyanzo yake vya ndani.
Ongezeko la mapato kwa mwaka wa fedha 2015/2016 linatokana na uboreshwaji wa ukusanyaji...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Tanica kukusanya bil. 6.5/-
KIWANDA cha kuzalisha kahawa cha Tanganyika Instant Coffee (Tanica) mkoani Kagera kinakusudia kukusanya sh bilioni 6.5 kutokana na mauzo ya kahawa ya unga na ya kukaanga kati ya Mei mwaka...
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Iringa yajipanga kukusanya Sh37.9 bil
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida
![IMG_1124](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1124.jpg)
![IMG_1132](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1132.jpg)
![IMG_1142](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1142.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Tume “Operesheni Tokomeza” kukusanya maoni Mikoa ya Arusha, Manyara, Tabora, Singida na Dodoma, Januari, 2015
Katibu wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza, Bw.Frederick Manyanda.
Na. Mwandishi Wetu
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza itakusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili Nchini mikoa ya Mikoa ya Arusha, Manyara, Tabora, Singida na Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa tarehe 24 Desemba, 2014 na Katibu wa Tume hiyo, Bw.Frederick Manyanda, Tume inatarajiwa kuendelea na zoezi la kukusanya maoni na taarifa...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Singida yatenga bajeti bil. 31/-
HALMASHAURI ya Manispaa ya Singida, inatarajia kutumia sh bilioni 31.7 katika bajeti yake ya mwaka wa fedha wa 2014/2015. Kaimu Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Deus Luziga, alibainsha hayo alipokuwa akitoa...
10 years ago
Dewji Blog26 Dec
Singida watumia Bil 1.5/- kutengeneza ya madaraja
Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo, akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa, kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKALA wa barabara (TANROADS) mkoani Singida, umetumia zaidi ya shilingi 1.5 biloni kugharamia matengenezo makubwa na madogo ya madaraja ya barabara kuu na za mkoa kwa kipindi cha Aprili hadi...
10 years ago
Dewji Blog04 May
Halmashauri ya Singida yakusanya mapato ya sh bil 11/-
Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Elia Digha, akitoa taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi cha kuanzia Julai mwaka jana hadi Machi 30 mwaka huu mbele ya kikao cha kawaiada cha madiwani. Digha alisema kuwa halmashauri hiyo ilikusanya zaidi yashilingi bilioni 11.4 ikiwa ni sawa na asilimia 49 ya lengo la kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 22.1.
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Iddi Mnyampanda, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QKalFa_iaQ8/XphoRM0hl0I/AAAAAAAAkuI/8Va850f-xBo98gTvyIt7TXhxEFD_7MvjgCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-04-16-17h13m20s924.png)
CWT MANISPAA YA SINGIDA CHAPATA VIONGOZI WAPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QKalFa_iaQ8/XphoRM0hl0I/AAAAAAAAkuI/8Va850f-xBo98gTvyIt7TXhxEFD_7MvjgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-04-16-17h13m20s924.png)