Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanica kukusanya bil. 6.5/-

 KIWANDA cha kuzalisha kahawa cha Tanganyika Instant Coffee (Tanica) mkoani Kagera kinakusudia kukusanya sh bilioni 6.5 kutokana na mauzo ya kahawa ya unga na ya kukaanga kati ya Mei mwaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Manispaa ya Singida kukusanya bil 32.2/-

DSC03680

Mstahiki meya wa manispaa ya Singida, Sheikh Salum Mahami, akifunga kikao maalum kilichopitisha mapendekezo ya bajeti ya zaidi ya shilingi 32.2 bilioni kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa katoliki mjini hapa.Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina na kushoto ni makamu meya manispaa ya Singida, Hassan Mkata.(Picha zote na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kukusanya mapato  kutoka...

 

10 years ago

Mwananchi

Iringa yajipanga kukusanya Sh37.9 bil

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imepitisha zaidi ya Sh37.9 bilioni ikiwa ni makadirio ya matumizi ya mwaka 2015/16, kiasi hicho kikiwa ni ongezeko la Sh9.7 bilioni ya bajeti ya mwaka 2014/15.

 

10 years ago

StarTV

Manispaa Morogoro yatarajia kukusanya Sh. Bil 5.3 2015/2016.

Na Kasilda Mgeni Mulimila,

Morogoro.

Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro inatarajia kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 5 kutoka kwenye vyanzo vyake ya mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2015/2016 ikiwa ni ongezeko la asilimia 13.3 ya makadirio ya mwaka 2014/2015.

 

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015, halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ilikusanya shilingi Bilioni 4.7 kutoka kwenye vyanzo yake vya ndani.

 

Ongezeko la mapato kwa mwaka wa fedha 2015/2016 linatokana na uboreshwaji wa ukusanyaji...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI



Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Gairo kukusanya bilioni 17/-

HALMASHAURI ya wilaya ya Gairo inatarajia kukusanya Sh bilioni 18.6 kutoka katika vyanzo mbalimbali vikiwemo mapato ya ndani katika kipindi cha bajeti ya mwaka wa fedha 2015/16.

 

11 years ago

Mwananchi

Kilombero kukusanya 48 bilioni

Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero inakadiria kupata jumla ya Sh48 bilioni kutoka vyanzo vyake mbalimbali vya mapato.

 

10 years ago

Habarileo

TRA yashindwa kukusanya bilioni 40/-

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Mwanza imeshindwa kufikia malengo yake ya kukusanya mapato Sh bilioni 40 katika kipindi cha Julai hadi Oktoba, mwaka huu kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za ukwepaji kodi.

 

10 years ago

Habarileo

Tunduru wahimizwa kukusanya maduhuli ya serikali

OFISI ya Madini wilayani Tunduru mkoani Ruvuma, imetakiwa kutozembea na kusimamia ipasavyo ukusanyaji wa maduhuli na ulipwaji wa mirahaba, kwa kuwa sasa ofisi hiyo haijakusanya maduhuli hayo kwa kiwango cha kuridhisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCCIA kukusanya maoni ada za leseni

CHAMA cha Wafanyabiashara, Wenye viwanda na Kilimo (TCCIA) kimezindua utaratibu wa kukusanya maoni ya wafanyabiashara kuhusiana na athari za urejeshwaji wa ada ya leseni za biashara. Akizungumza jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani