Iringa yajipanga kukusanya Sh37.9 bil
Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imepitisha zaidi ya Sh37.9 bilioni ikiwa ni makadirio ya matumizi ya mwaka 2015/16, kiasi hicho kikiwa ni ongezeko la Sh9.7 bilioni ya bajeti ya mwaka 2014/15.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Tanica kukusanya bil. 6.5/-
KIWANDA cha kuzalisha kahawa cha Tanganyika Instant Coffee (Tanica) mkoani Kagera kinakusudia kukusanya sh bilioni 6.5 kutokana na mauzo ya kahawa ya unga na ya kukaanga kati ya Mei mwaka...
10 years ago
Dewji Blog31 Jan
Manispaa ya Singida kukusanya bil 32.2/-
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kukusanya mapato kutoka...
10 years ago
StarTV13 Feb
Manispaa Morogoro yatarajia kukusanya Sh. Bil 5.3 2015/2016.
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro inatarajia kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 5 kutoka kwenye vyanzo vyake ya mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2015/2016 ikiwa ni ongezeko la asilimia 13.3 ya makadirio ya mwaka 2014/2015.
Kwa mwaka wa fedha 2014/2015, halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ilikusanya shilingi Bilioni 4.7 kutoka kwenye vyanzo yake vya ndani.
Ongezeko la mapato kwa mwaka wa fedha 2015/2016 linatokana na uboreshwaji wa ukusanyaji...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Bil.1.3/- kutekeleza miradi Iringa
HALMASHAURI ya Manispaa ya Iringa itatumia sh bilioni 1.3 katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maji. Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji kazi wa Kamati ya Mipango na Mazingira kwa kipindi cha robo...
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Mfuko wa GEPF wakusanya Sh37.29 bilioni
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HGi2GKk4aew/VMj4q71nF3I/AAAAAAAG_60/vvTidS0UO4E/s72-c/Flag-Pins-Tanzania-European-Union.jpg)
Launch of the European Union Supported "Usafi Iringa-Iringa Sanitation" Project
![](http://3.bp.blogspot.com/-HGi2GKk4aew/VMj4q71nF3I/AAAAAAAG_60/vvTidS0UO4E/s1600/Flag-Pins-Tanzania-European-Union.jpg)
With funding from the European Union, ACRA-CCS Foundation, in partnership with Iringa Municipal Council, Iringa Urban Water and Sanitation Authority (IRUWASA), local (MAMADO, IDYDC) and international...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuReAt*SvSINcgBFSx*cxca6SI49EIsuP8qYwH69MCWOLujFKk6CmctPia3tv*iM9IL*k5iNXMmCOVIHBMqUmpTZC/001Iringa.jpg?width=650)
WAKAZI 6 WA MKOA WA IRINGA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM IRINGA
10 years ago
MichuziIRINGA KIBIKI CHILDREN CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI IRINGA