Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Singida watumia Bil 1.5/- kutengeneza ya madaraja

DSC02592

Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo, akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa, kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKALA wa barabara (TANROADS) mkoani Singida, umetumia zaidi ya shilingi 1.5 biloni kugharamia matengenezo makubwa na madogo ya madaraja ya barabara kuu na za mkoa kwa kipindi cha Aprili hadi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

TANROADS Singida yatumia Shilingi bil 1.2 /- kutengeneza barabara

DSC02592

Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo,akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa,kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKALA  wa barabara TANROADS Mkoa wa Sigida imetumia zaidi ya shilingi 1.2 bilioni  kugharamia matengenezo ya kawaida kwa barabara kuu yenye urefu wa kilometa 589.2 kati ya Aprili na Juni mwaka huu.

Hayo  yamesemwa na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi watumia Uji kutengeneza Pombe

Gazeti moja nchini Afrika Kusini limechapisha ripoti kuwa wanafunzi nchini Zimbabwe wanatumia uji kutengeneza pombe shuleni

 

9 years ago

Habarileo

TEA watumia bil 2/- kusaidia shule za walemavu

MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) imetumia zaidi ya sh bilioni 1.83 kwa ajili ya kusaidia shule na vyuo vyenye watu wenye ulemavu katika kipindi cha miaka mitatu.

 

9 years ago

Habarileo

Mgodi watumia bil 1.7/- kujenga sekondari ya kisasa

MGODI wa Dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime umetumia kiasi cha Sh bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari JK Nyerere pamoja na nyumba za walimu. Ujenzi wa shule hiyo iliyopo kijiji cha Nyamwaga kinachopakana na mgodi huo umeenda sambamba na ununuzi wa samani za ofisi za walimu, madarasa na maabara.

 

9 years ago

StarTV

Wagonjwa hospitali ya mkoa Singida watumia mashuka yao

Wagonjwa wanaolazwa katika hospitali ya mkoa wa Singida wapo hatarini kupata maambukizi ya magonjwa mengine kutokana na kutumia mashuka wanayotoa nyumbani na kujifunika bila kuyafanyia usafi suala ambali ni kinyume na taratibu na kanuni za afya.

Hii ni kutokana na Hospitali hiyo kuwa na mashuka  235 pekee kati ya 2,500 yanayohitajika, kiwango ambacho ni chini ya asilimia 10 ya mahitaji hivyo kuulazimu uongozi kutoa ruksa kwa kila mgonjwa anayelazwa kwenda na shuka lake.

Wagonjwa mbalimbali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Singida yatenga bajeti bil. 31/-

HALMASHAURI ya Manispaa ya Singida, inatarajia kutumia sh bilioni 31.7 katika bajeti yake ya mwaka wa fedha wa 2014/2015. Kaimu Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Deus Luziga, alibainsha hayo alipokuwa akitoa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Manispaa ya Singida kukusanya bil 32.2/-

DSC03680

Mstahiki meya wa manispaa ya Singida, Sheikh Salum Mahami, akifunga kikao maalum kilichopitisha mapendekezo ya bajeti ya zaidi ya shilingi 32.2 bilioni kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa katoliki mjini hapa.Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina na kushoto ni makamu meya manispaa ya Singida, Hassan Mkata.(Picha zote na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kukusanya mapato  kutoka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Singida yakusanya mapato ya sh bil 11/-

DSC05520

Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Elia Digha, akitoa taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi cha kuanzia Julai mwaka jana hadi Machi 30 mwaka huu mbele ya kikao cha kawaiada cha madiwani. Digha alisema kuwa halmashauri hiyo ilikusanya zaidi yashilingi bilioni 11.4 ikiwa ni sawa na asilimia 49 ya  lengo la kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 22.1.

DSC05514

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Iddi Mnyampanda, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao...

 

9 years ago

StarTV

  Utekelezaji mradi wa elimu sema Singida latumia zaidi ya Sh. Bil. 1.5

 

Shirika lisilo la Kiserikali la SEMA-Singida limetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za mradi wa elimu ya afya, maji na usafi wa mazingira kwa shule za msingi 36 za mikoa ya Singida na Dodoma katika kipindi cha kuanzia Machi 2011 hadi Machi mwaka huu.

Shirika hilo chini ya ufadhili wa Water Aid Tanzania limejenga vyoo bora  katika shule  hizo za mradi, kuweka na kukarabati miundombinu ya maji na kutoa elimu  ya afya  kwa wanafunzi na ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani