Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEA watumia bil 2/- kusaidia shule za walemavu

MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) imetumia zaidi ya sh bilioni 1.83 kwa ajili ya kusaidia shule na vyuo vyenye watu wenye ulemavu katika kipindi cha miaka mitatu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Singida watumia Bil 1.5/- kutengeneza ya madaraja

DSC02592

Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo, akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa, kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKALA wa barabara (TANROADS) mkoani Singida, umetumia zaidi ya shilingi 1.5 biloni kugharamia matengenezo makubwa na madogo ya madaraja ya barabara kuu na za mkoa kwa kipindi cha Aprili hadi...

 

9 years ago

Habarileo

Mgodi watumia bil 1.7/- kujenga sekondari ya kisasa

MGODI wa Dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime umetumia kiasi cha Sh bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari JK Nyerere pamoja na nyumba za walimu. Ujenzi wa shule hiyo iliyopo kijiji cha Nyamwaga kinachopakana na mgodi huo umeenda sambamba na ununuzi wa samani za ofisi za walimu, madarasa na maabara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bil. 1/- zanunulia vifaa vya kujifunzia walemavu

JUMLA ya shilingi bilioni moja zilitumika kununua vifaa vya kujifunzia kwa wanafunzi wenye ulemavu katika mwaka wa fedha 2012/13. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, alibainisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yatakiwa kutenga fedha kusaidia walemavu

WAKAZI wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha na maeneo jirani wameombwa kutenga sh 1,500 katika matumizi yao ya siku kwa ajili ya kuchangia gharama za uendeshaji wa kituo cha kulelea...

 

11 years ago

GPL

FARIDA AZINDUA FARIDAS FOUNDATION KUSAIDIA WALEMAVU

Farida A. Sekimonyo akizungumza wakati wa uzinduzi wa Faridas Foundation. Keki maalum kwa tukio hilo. Sehemu…

 

11 years ago

Habarileo

Gharama za serikali tatu zitumike kusaidia walemavu

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ali Omar Makame ametaka gharama zitakazotumika kuanzisha serikali ya tatu zikatumike kuwasaidia watu wenye ulemavu wanaoishi katika dimbwi la umasikini miongoni mwa Watanzania walio wengi nchini.

 

9 years ago

StarTV

Sh. Bil. 1 kusaidia masuala ya UKIMWI Geita

 

Makusanyo ya zaidi ya shilingi bilioni moja yaliyopatikana katika kupanda Mlima Kilimanjaro yatasaidia taasisi mbalimbali zinazojishughulisha na masuala ya UKIMWI ndani na nje ya Mkoa wa Geita.

Takribani miaka  13 sasa tangu Mgodi wa Dhahabu wa Geita uanze kampeni hii yenye lengo la kusaidiana na Serikali kupunguza maambukizi mapya ya UKIMWI ambayo yamekuwa yakiathiri nguvu kazi ya Taifa hasa vijana ongezeko kubwa likionekana kwenye maeneo ya machimbo.

Upandaji wa mlima Kilimanjaro umekuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sweden yatoa bil. 42/- kusaidia miradi UN

DSC_0216

Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mh. Lennarth Hjelmaker akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya kutiliana saini makubaliano kati ya nchi ya yake na Umoja wa Mataifa ambapo wametoa  fedha  kusaidia miradi ya Umoja wa Mataifa kwenye ofisi za ubalozi wa Sweden jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.(Picha na Zainul Mzige MOblog).

Na  Mwandishi...

 

10 years ago

Habarileo

Hispania watoa bil 3.1/- kusaidia miradi

SERIKALI ya Hispania imetoa Sh bilioni 3.1 kusaidia miradi ya maendeleo ya jamii nchini ambayo mingine inatekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii,TASAF.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani