Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sweden yatoa bil. 42/- kusaidia miradi UN

DSC_0216

Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mh. Lennarth Hjelmaker akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya kutiliana saini makubaliano kati ya nchi ya yake na Umoja wa Mataifa ambapo wametoa  fedha  kusaidia miradi ya Umoja wa Mataifa kwenye ofisi za ubalozi wa Sweden jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.(Picha na Zainul Mzige MOblog).

Na  Mwandishi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Hispania watoa bil 3.1/- kusaidia miradi

SERIKALI ya Hispania imetoa Sh bilioni 3.1 kusaidia miradi ya maendeleo ya jamii nchini ambayo mingine inatekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii,TASAF.

 

9 years ago

Dewji Blog

UNCDF yatoa bilioni 2.4/- kusaidia miradi 6 ya miundombinu

Mkurugenzi wa Mfuko wa Mtaji wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa, (UNCDF) nchini Tanzania, Peter Malika akizungumza na wageni waalikwa wakati wa makabidhiano ya misaada kwa miradi ya maendeleo iliyodhaminiwa na UNCDF Tanzania.

Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba akisoma hotuba yake wakati wa kukabidhi hundi kwa mashirika binafsi na ya umma kwa ajili ya kuendeleza miradi ya maendeleo.

Naibu Katibu Mkuu Tamisemi, Kagyabukama E.Kiliba (katikati) akimkabidhi hundi bilioni moja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sweden yaipa Zanzibar bil.11/-

SERIKALI ya Sweden imetiliana saini mkataba wa sh. bilioni 11na Serikali ya Zanzibar kwa ajili ya kuisaidia miradi ya maendeleo ikiwemo nishati.  Mkataba huo ulisainiwa na Katibu mkuu wa Wizara...

 

9 years ago

StarTV

Sh. Bil. 1 kusaidia masuala ya UKIMWI Geita

 

Makusanyo ya zaidi ya shilingi bilioni moja yaliyopatikana katika kupanda Mlima Kilimanjaro yatasaidia taasisi mbalimbali zinazojishughulisha na masuala ya UKIMWI ndani na nje ya Mkoa wa Geita.

Takribani miaka  13 sasa tangu Mgodi wa Dhahabu wa Geita uanze kampeni hii yenye lengo la kusaidiana na Serikali kupunguza maambukizi mapya ya UKIMWI ambayo yamekuwa yakiathiri nguvu kazi ya Taifa hasa vijana ongezeko kubwa likionekana kwenye maeneo ya machimbo.

Upandaji wa mlima Kilimanjaro umekuwa...

 

9 years ago

Habarileo

TEA watumia bil 2/- kusaidia shule za walemavu

MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) imetumia zaidi ya sh bilioni 1.83 kwa ajili ya kusaidia shule na vyuo vyenye watu wenye ulemavu katika kipindi cha miaka mitatu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenge wazindua miradi ya bil. 5.6/-

MIRADI nane yenye thamani ya sh. bilioni 5.6 imetembelewa na kuzinduliwa na mbio za mwenge katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam huku kiongozi wa mbio hizo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bil.1.3/- kutekeleza miradi Iringa

HALMASHAURI ya Manispaa ya Iringa itatumia sh bilioni 1.3 katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maji. Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji kazi wa Kamati ya Mipango na Mazingira kwa kipindi cha robo...

 

10 years ago

Habarileo

Miradi ya UN nchini yasaidiwa bil. 42/-

SWEDEN imeyapatia mashirika ya Umoja wa Mataifa yaliyopo hapa nchini jumla ya Sh bilioni 42 kusaidia miradi yake ya maendeleo inayofanya Tanzania.

 

11 years ago

Habarileo

Sweden yatoa bilioni 11.3/- kwa nishati

SERIKALI ya Sweden imetoa Sh bilioni 11.3 kusaidia maendeleo ya nishati Zanzibar na kuwezesha shirika la umeme kufanya kazi kwa ufanisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani