Sweden yatoa bilioni 11.3/- kwa nishati
SERIKALI ya Sweden imetoa Sh bilioni 11.3 kusaidia maendeleo ya nishati Zanzibar na kuwezesha shirika la umeme kufanya kazi kwa ufanisi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Vojmaj5dsXY/VC7OiguvWtI/AAAAAAAGnoE/nKXntVsFo3U/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
BALOZI DORA MSECHU AWASILISHA HATI ZAKE ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA SWEDEN, AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO SWEDEN NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vojmaj5dsXY/VC7OiguvWtI/AAAAAAAGnoE/nKXntVsFo3U/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ToC96FpSTQY/VC7OjLTenPI/AAAAAAAGnoI/dc9rD2V_H2E/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GmRSNyyE_sA/VC7Pn5vLamI/AAAAAAAGno0/dSLLhZpe15k/s1600/Reception3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iuLfEGPOfC4/VC7PNYdYHqI/AAAAAAAGnos/PRe1mDEgRek/s1600/Humor.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Mar
SIDA yatoa bilioni 40/- kwa utafiti
SHIRIKA la Kimataifa la Maendeleo la Sweden (SIDA) kupitia baraza la utafiti limetoa Sh bilioni 40 kwa ajili ya shughuli za utafiti pamoja na kusomesha walimu wa taasisi za elimu ya juu katika kipindi cha miaka mitatu ijayo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W19hXQD52kYCVkg7mYooqAFguCmnm7e9ac0X2LEwG2sENNZueFCt4ohK*-PKitSlUSxVrnGEWmq0KyQ3brMsVlO/photo1.jpg?width=650)
NBC YATOA MKOPO WA BILIONI MIA KWA MOHAMED ENTERPRISES
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Benki ya NMB yatoa mkopo wa Shilingi bilioni 3 kwa wakulima wa muhogo Handeni
![](https://1.bp.blogspot.com/-foX5mXWBZYE/XuxCE-fP53I/AAAAAAAEH5s/7AIG5M1ZJlQEjxEHa79jnQV4FGrvv9r0gCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
9 years ago
MichuziTEA YATOA MKOPO WA SH. BILIONI TATU KWA TAASISI YA ELIMU TANZANIA(TIE)
11 years ago
Dewji Blog26 May
Tanga Cement yatoa gawio la hisa shilingi 7 bilioni kwa wanahisa wake
Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Saruji Tanga (TCCL), David Lee ( wa pili kushoto) akisoma taarifa za fedha za kampuni hiyo wakati wa mkutano wa 20 wa mwaka wa wanahisa wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tanga Cement, Reinhardt Swart, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Lawrence Masha, na mjumbe mwingine wa bodi hiyo, Dr. Stephan Olivier.
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania,
KAMPUNI ya Saruji ya Tanga cement...
10 years ago
VijimamboMAREKANI YATOA DOLA BILIONI 30 KWA AJILI YA KULINDA MAZINGIRA, KUKUZA UHIFADHI NA UTALII
Serikali iya Marekani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-udxIm_mNv0I/XmeLYz_HXYI/AAAAAAAEGL8/-Bkb5oN1KZc4ebvFFAj7h-7fBhhHNKXJgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-13-1.jpg)
NMB yawezesha Kilimo cha katani nchini, yatoa shilingi Bilioni 1 kwa ajili ya matrekta
![](https://1.bp.blogspot.com/-udxIm_mNv0I/XmeLYz_HXYI/AAAAAAAEGL8/-Bkb5oN1KZc4ebvFFAj7h-7fBhhHNKXJgCLcBGAsYHQ/s640/4-13-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-13-1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Sweden yatoa bil. 42/- kusaidia miradi UN
Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mh. Lennarth Hjelmaker akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya kutiliana saini makubaliano kati ya nchi ya yake na Umoja wa Mataifa ambapo wametoa fedha kusaidia miradi ya Umoja wa Mataifa kwenye ofisi za ubalozi wa Sweden jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.(Picha na Zainul Mzige MOblog).
Na Mwandishi...