Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walaji ‘kitimoto’ kupata kifafa

Profesa Faustine LekuleCHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimehadharisha walaji wa nyama ya nguruwe nchini, kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata kifafa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMA AWAKIMBIA WANAYE WENYE KIFAFA

Bw. Nabo Philipo aliyekimbiwa na mkewe. HILI nalo ni tukio! Mwanaume mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Nabo Philipo ameibuka na kudai kuwa, mkewe Mariana Thomas Silayo (pichani) amekimbia nyumbani na kumwachia watoto wawili wenye ugonjwa wa kifafa. Akizungumza kwa uchungu na gazeti hili hivi karibuni, Nabo alisema alifunga ndoa na Mariana mwaka 2002 na kujaliwa kupata watoto wawili, Madelin  na Joyce Nabo na ndani ya miaka...

 

11 years ago

Mwananchi

Mfumuko wa bei watishia walaji

Kupanda kwa bei ya bidhaa nchini Japan kumesababisha wasiwasi mkubwa kwa walaji huku Serikali ya nchi hiyo ikijaribu kuimarisha soko la walaji wa ndani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je, walaji wa nguruwe wana hofu?

Kumekuwa na mjadala kuhusu ulaji wa nyama ya nguruwe katika maeneo mengi duniani kwa madai kuwa ina madhara kiafya.

 

11 years ago

Mwananchi

Zanzibar wawekwa kitimoto

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM) juzi jioni walipata wakati mgumu katika kikao cha ndani cha wabunge wa chama hicho wakituhumiwa kwa ‘usaliti wa Muungano’.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tantrade yawekwa kitimoto

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (PAC), imeipa saa 48 Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), kuwasilisha kadi za vyombo vya moto 11 vilivyobadishwa usajili wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tume kutafiti kasoro sheria za walaji

TUME ya Marekebisho ya Sheria nchini imeanza kufanya utafiti katika mapitio ya mfumo wa sheria unaosimamia haki za walaji, ili kubaini kasoro zilizoko kwenye mfumo husika kwa sasa. Akizungumza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Homa ya ‘kitimoto’ yaleta hofu

Ugonjwa wa homa ya nguruwe, umeibuka tena katika Jiji la Mbeya na kuua nguruwe 166 wenye thamani ya Sh33 milioni hadi ilipofika juzi.

 

10 years ago

Habarileo

Chenge, Tibaijuka kuwekwa kitimoto

Mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna TibaijukaTUME ya Maadili ya Viongozi wa Umma itawaweka kiti moto watuhumiwa 9 ambao ni viongozi wanaohusishwa na kashfa ya uchotwaji wa fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Habarileo

UVCCM kumweka kitimoto Nyalandu

Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro NyalanduSAKATA baina ya Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Singida Vijijini limechukua sura mpya baada ya kikao cha Baraza la Jumuiya hiyo kuazimia kuitisha mkutano mkuu ili kumjadili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani