Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zanzibar wawekwa kitimoto

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM) juzi jioni walipata wakati mgumu katika kikao cha ndani cha wabunge wa chama hicho wakituhumiwa kwa ‘usaliti wa Muungano’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tantrade yawekwa kitimoto

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (PAC), imeipa saa 48 Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), kuwasilisha kadi za vyombo vya moto 11 vilivyobadishwa usajili wa...

 

10 years ago

Habarileo

UVCCM kumweka kitimoto Nyalandu

Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro NyalanduSAKATA baina ya Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Singida Vijijini limechukua sura mpya baada ya kikao cha Baraza la Jumuiya hiyo kuazimia kuitisha mkutano mkuu ili kumjadili.

 

11 years ago

Habarileo

Walaji ‘kitimoto’ kupata kifafa

Profesa Faustine LekuleCHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimehadharisha walaji wa nyama ya nguruwe nchini, kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata kifafa.

 

11 years ago

Mwananchi

Homa ya ‘kitimoto’ yaleta hofu

Ugonjwa wa homa ya nguruwe, umeibuka tena katika Jiji la Mbeya na kuua nguruwe 166 wenye thamani ya Sh33 milioni hadi ilipofika juzi.

 

10 years ago

Habarileo

Chenge, Tibaijuka kuwekwa kitimoto

Mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna TibaijukaTUME ya Maadili ya Viongozi wa Umma itawaweka kiti moto watuhumiwa 9 ambao ni viongozi wanaohusishwa na kashfa ya uchotwaji wa fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

GPL

JUMA CHIKOKA LAIVU AKILA KITIMOTO

Stori:MUSA MATEJA MSANII wa kitambo ndani ya Bongo Movies, Juma Chikoka, amenaswa akila nyama ya nguruwe (kitimoto) huku ikiaminika kuwa ana imani isiyotumia mnyama huyo. Msanii kitambo ndani ya Bongo Movies, Juma Chikoka akijimegea kipande cha nyama (kitimoto). Tukio hilo lilijiri hivi karibuni maeneo ya Sinza jijini Dar ambapo msanii huyo alijumuika na marafiki zake pasipo kujua paparazi wa kujitegemea alikuwa akifanya kazi...

 

11 years ago

Mwananchi

Wizara za Fedha, Elimu kuwekwa ‘kitimoto’

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, PAC, imepanga kuzikutanisha kwa pamoja, Wizara za Fedha na Elimu wakati ikipokea taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) inayohusu matumizi ya fedha za marejesho ya rada jinsi zilivyotumiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yamuweka kitimoto Ofisa Mtendaji

WAKATI kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani zikiwa zimeanza rasmi jana, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemuweka chini ya ulinzi Ofisa Mtendaji wa Kata ya Nyasura, Wilaya ya Bunda...

 

9 years ago

Habarileo

Wanafunzi wawekwa kinyumba

BAADHI wa wanafunzi wa kike wanaosoma katika shule za sekondari mkoani Rukwa, wamejikuta wakiwekwa kinyumba baada ya wazazi na walezi wao kuwapangishia vyumba vijijini na kuwatelekeza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani