‘Marufuku kusafirisha nguruwe’
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani amepiga marufuku usafirishaji nguruwe nchini bila kibali cha wataalamu wa mifugo, lengo likiwa ni kuzuia kuenea homa ya nguruwe iliyoripotiwa mkoani Mbeya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Marufuku kusafirisha masanduku ya kura
*Tume yasema matokeo yatatangazwa vituoni
*Fomu ya matokeo ya urais kuskaniwa jimboni
NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo na ni marufuku kusafirisha masanduku ya kura kama ilivyokuwa zamani.
Jaji Lubuva aiyasema hayo Dar es Salaam jana katika mkutano na wawakilishi wa walemavu kujadili namna bora...
10 years ago
Habarileo07 Apr
Kusafirisha wafuasi wa vyama marufuku Zanzibar
POLISI Visiwani Zanzibar imepiga marufuku vyama vya siasa kusafirisha wafuasi na wanachama wake kutoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mikutano ya hadhara ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kudhibiti vurugu za kisiasa kwa wafuasi kushambuliana.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar30 Sep
Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE
Wednesday, September 30, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo […]
The post Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Imamu aiba nguruwe
KATIKA hali isiyo ya kawaida, aliyekuwa Imamu wa Msikiti wa Kisesa uliopo Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Salum Yusuph, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiwa ameiba...
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Je, walaji wa nguruwe wana hofu?
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Fisi wasitisha mradi wa nguruwe
11 years ago
BBCSwahili01 May
Nguruwe wanaorandaranda kupigwa risasi India
10 years ago
Habarileo02 Oct
Akacha shule kwa kunogewa penzi la nguruwe
UNAWEZA kudhani ni Hekaya za Kusadikika! Lakini ni kisa cha kweli kwamba mama mzazi amemshitaki polisi mwanawe wa kiume, ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16, kwa kile anachodai amechoshwa na tabia ya mwanawe ya kufanya mapenzi na nguruwe wao jike mara kwa mara na hata kujikuta akiacha shule.
9 years ago
Michuzi11 Dec