Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Marufuku kusafirisha nguruwe’

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani amepiga marufuku usafirishaji nguruwe nchini bila kibali cha wataalamu wa mifugo, lengo likiwa ni kuzuia kuenea homa ya nguruwe iliyoripotiwa mkoani Mbeya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Marufuku kusafirisha masanduku ya kura

Damian Lubuva_NEC2*Tume yasema matokeo yatatangazwa vituoni

*Fomu ya matokeo ya urais kuskaniwa jimboni

NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo na ni marufuku kusafirisha masanduku ya kura kama ilivyokuwa zamani.

Jaji Lubuva aiyasema hayo Dar es Salaam jana katika mkutano na wawakilishi wa walemavu   kujadili namna bora...

 

10 years ago

Habarileo

Kusafirisha wafuasi wa vyama marufuku Zanzibar

Mkuu wa Upelelezi na Makosa ya Jinai Zanzibar, Salum MsangiPOLISI Visiwani Zanzibar imepiga marufuku vyama vya siasa kusafirisha wafuasi na wanachama wake kutoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mikutano ya hadhara ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kudhibiti vurugu za kisiasa kwa wafuasi kushambuliana.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE

Wednesday, September 30, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo […]

The post Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Imamu aiba nguruwe

KATIKA hali isiyo ya kawaida, aliyekuwa Imamu wa Msikiti wa Kisesa uliopo Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Salum Yusuph, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiwa ameiba...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je, walaji wa nguruwe wana hofu?

Kumekuwa na mjadala kuhusu ulaji wa nyama ya nguruwe katika maeneo mengi duniani kwa madai kuwa ina madhara kiafya.

 

11 years ago

Mwananchi

Fisi wasitisha mradi wa nguruwe

Mradi wa kufuga nguruwe uliokuwa ukitekelezwa na Kikundi cha Twaweza, Kata ya Mwendakulima, wilayani Kahama umefungwa baada ya fisi kuvamia zizi na kuwatafuna wote.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nguruwe wanaorandaranda kupigwa risasi India

Mji wa Shivpur nchini India umejikuta matatani baada ya maafisa wake kuwataka watu wanaomiliki bunduki kuwapiga risasi Nguruwe wanaorandaranda mjini

 

10 years ago

Habarileo

Akacha shule kwa kunogewa penzi la nguruwe

UNAWEZA kudhani ni Hekaya za Kusadikika! Lakini ni kisa cha kweli kwamba mama mzazi amemshitaki polisi mwanawe wa kiume, ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 16, kwa kile anachodai amechoshwa na tabia ya mwanawe ya kufanya mapenzi na nguruwe wao jike mara kwa mara na hata kujikuta akiacha shule.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani